Yuko wapi Nyani Ngabu?

Status
Not open for further replies.
Pole pole sana,kumbe siku ile waniambia aliweka picha za watu jukwaani na wewe mmojawao?sasa nimeelewa this time na g unabana mpaka password,pole my dia as a woman naelewa uliyopitia mpaka jina la ukoo kaliweka?huyo ni mwenzetu tu kutoka mavumbini sio wa kishua as he claim,ila nawewe dina ngoja nikuchambe hukuona aina ya mtu kama huyo mpaka mkawa wapenzi?nmtu jukwaani kila siku kujisifia abt himself,kutukana wanawake kila kitu mkorofi yeye,mjuaji yeye,my dia you need to learn about character assasment ili makosa yasijirudie ila nini nlichokupendea hujakimbia id unapambana nae mpaka mwisho na ulimvuruga kavurugika wadada wengine tujifunze kupitia dina,kuna watu leo anakusifia mkipishana tegemea makubwa zaidi ya dinnah,
Hivi Kwan waliomaliza form 4 hawawezi pata Degree nakojoaaaaa
mtu kama nifah hagombanagi she is always on her own league,nlishtuka kuona picha zake zinasambaa h,aisee kuna watu wanaishi kwa trump ila wanatakiwa wawe wacheza singeli
 
Amu katika ubora wake!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…