Umefungwaa[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] miye sio mwenyekiti wa umbea bwanaa!!!wansingiziaHapo sawa kuna ulw uzi wa kile kidume kilitongozwa na Mdada hapa akaja kuchongea humu [emoji23] [emoji23] [emoji23] Dah JF ina vitimbi sana.
Hebu nipe link ya huo uzi mwenyekiti wa Umbea.
Amu nadhani tusameheane nisamehe kutokulisoma hilo, Kina Espy wajanja walikimbia mtego, Ila sijilaumu Sana ni Mapito ,acha tu ndio maana umeona kwa G hadi password wengine wanadhani G gelesha nawacheka kweliPole pole sana,kumbe siku ile waniambia aliweka picha za watu jukwaani na wewe mmojawao?sasa nimeelewa this time na g unabana mpaka password,pole my dia as a woman naelewa uliyopitia mpaka jina la ukoo kaliweka?huyo ni mwenzetu tu kutoka mavumbini sio wa kishua as he claim,ila nawewe dina ngoja nikuchambe hukuona aina ya mtu kama huyo mpaka mkawa wapenzi?nmtu jukwaani kila siku kujisifia abt himself,kutukana wanawake kila kitu mkorofi yeye,mjuaji yeye,my dia you need to learn about character assasment ili makosa yasijirudie ila nini nlichokupendea hujakimbia id unapambana nae mpaka mwisho na ulimvuruga kavurugika wadada wengine tujifunze kupitia dina,kuna watu leo anakusifia mkipishana tegemea makubwa zaidi ya dinnah,
mtu kama nifah hagombanagi she is always on her own league,nlishtuka kuona picha zake zinasambaa h,aisee kuna watu wanaishi kwa trump ila wanatakiwa wawe wacheza singeli
[emoji57] [emoji57] [emoji57] hovyooo!!Ufungweeeeee uzi
Sawa sawa maana hakuna maiti kati yenuSio nimepata tumepata woteee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna mmoja aliwashauri wanawake wa JF watazame na watu wa kutongoza humu.Umefungwaa[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] miye sio mwenyekiti wa umbea bwanaa!!!wansingizia
Ufungweeeee[emoji57] [emoji57] [emoji57] hovyooo!!
Asante Dina naomba tuachie jukwaa sasa sisi pia tufanye yetu naomba upumzike.Amu nadhani tusameheane nisamehe kutokulisoma hilo, Kina Espy wajanja walikimbia mtego, Ila sijilaumu Sana ni Mapito ,acha tu ndio maana umeona kwa G hadi password wengine wanadhani G gelesha nawacheka kweli
Nadhani Mungu akifunga mlango mmoja hufungua hata dirisha mwanga uingie nadhani kwangu Mungu kafungua mageti yote now
Wengine hapa anawalaghai laghai kwa mineno Mitamu, wapo wapi kina Mwafrika mimi nna damu ya Kisomali sikimbii Vita Kabisa,
Uliyoongea wasipojifunza watalia Siku moja Hakuna mtu muongo jf Kama huyo baba hayupoo nadhan we ni member wa muda mrefu unamjua ,wala watu wa kishua humu wapo kimyaa
Leo nimemaliza kinyongo changu kabisa sitomuongelea tenaa huyu mtu
wewe nawe inabidi unipe sasa.... nasi tuanze ligi JF.Ufungweeeee
ooouh... nimepitiwa kumbe mwanangu.Ufungweeeee
Sihusiki na huu uzi ila naumia sana.... Tukumbuke kuna maisha baada ya hapa na nje ya JF.... Mbaya zaidi maandishi hayafutiki... Kuna siku maandishi haya haya yatakuja kugeuka fimbo mbaya hata kwa hawa wapambe wanaochochea mgogoro... RRONDO kakimbia ila angerudi tupambane uzi uondolewe... Tusiifanye CHITCHAT sehemu ya kuogopwa na JF isitumike kama bakora ya kuchapana kwenye maswala private nje ya jukwaaUzi msiufunge jamani loooh
Kwani usiombe ligi na F. Mkuu.wewe nawe inabidi unipe sasa.... nasi tuanze ligi JF.
ByeeeKama nasema uongo Ghadaff afufuke
Na kuna mengine mengi tu nimesitiri
Muwe na usiku mwemaaaaa
Byeeee!Na wewe Wit wewe.....endelea kunichekea chekea tu.
Ntakukula na wewe.....shauri yako.
Okay, now I’m out for good!
Safi sana naona umepata kujua ulichokuwa unafanya awali.Byeee
I was expecting this sweetie let's other life lead u!!Amu nadhani tusameheane nisamehe kutokulisoma hilo, Kina Espy wajanja walikimbia mtego, Ila sijilaumu Sana ni Mapito ,acha tu ndio maana umeona kwa G hadi password wengine wanadhani G gelesha nawacheka kweli
Nadhani Mungu akifunga mlango mmoja hufungua hata dirisha mwanga uingie nadhani kwangu Mungu kafungua mageti yote now
Wengine hapa anawalaghai laghai kwa mineno Mitamu, wapo wapi kina Mwafrika mimi nna damu ya Kisomali sikimbii Vita Kabisa,
Uliyoongea wasipojifunza watalia Siku moja Hakuna mtu muongo jf Kama huyo baba hayupoo nadhan we ni member wa muda mrefu unamjua ,wala watu wa kishua humu wapo kimyaa
Leo nimemaliza kinyongo changu kabisa sitomuongelea tenaa huyu mtu
Najua mamaa!!!baasi kimyaa pleaseKama nasema uongo Ghadaff afufuke
Na kuna mengine mengi tu nimesitiri
Muwe na usiku mwemaaaaa
Ila kitu kimoja hakijatajwa ana kibamia au hogo?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Punguza kuwala na kuwaanika kakaa!unajiharibia bwanaa!!
Mpk watu wanakuogopa jf!!kaaaahh!NN USA bebe!!!
Kula kaa kimya!!utakosa umate mate wa jf!!
Na mie nakazia hapoHayaaa makubwa!
Ila nilichogundua nyie bado mnapendana tena sana!
I rest my case....tafutaneni muombane misamaha tuje kula pilau la harusi!