Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Na atuache[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwenda hukooo
Uache uchokozi
Sawa modHaya uzuri miandiko ya watu huwa hipotei ata akija na ID nyengine siye tutamnote [emoji1]
Heee kwa hiyo unamgeuza incubatorDuuuhh kuoa tena?? Aiseeeeee .
HaahahahahahHaya uzuri miandiko ya watu huwa hipotei ata akija na ID nyengine siye tutamnote [emoji1]
Wengine wanasema anaitwa deogratius magembeJulius Magembe...unatafutwa huku
Nooooo acha kabisa kusema ivo !!!.Heee kwa hiyo unamgeuza incubator
Hahaha sijui yupo wapiHivi Emmyta yupo kweli yule mrembo
Wanatuvuruga. Kila siku jina jipya. Wajipange watuletee jina moja. Mara Richard Julius now Deo? Kesho watasema anaitwa LaurentWengine wanasema anaitwa deogratius magembe
Sasa acha dharau PutinNooooo acha kabisa kusema ivo !!!.
Sijui[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Anatumia ID gani? Huwa hajifichi hata akibadili utamjua.
Wanatuvuruga. Kila siku jina jipya. Wajipange watuletee jina moja. Mara Richard Julius now Deo? Kesho watasema anaitwa Laurent
Ni nani yako tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa mod
Ahahahah utanunua S9 ili upate chura?
Akijibu ndio mwambie nipo ntampa chura
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] AlijibuNasubiriaa jibu lake sio anataka chura bure bure tu
yule ana hashindwi "" kuwa na multiple ids mkuu""?Wengine wanasema anaitwa deogratius magembe
hahaa JF Bhanaa...hivi kuna jukwaa huwa mnauziwa bangi Humu ??Pia kwako hana umuhim ndo maana hujui alipo. Pia hata yeye hana umuhim kwako ndo maana hajakujulisha alipo
ha hahaUjuaji mwingine bhana....
Mkuu una maana gani kusema Life Ban..? Kwangu maisha ni Fatuma na chura yakeUnataka ujaribu kunitukana,jaribu siku moja na wengine wajaribu ukija na nyingine ban tu
Tatizo lenu huwa mnatuangalia kwa jicho jepesi jepesi tazamaneni kwa umakini na acheni dharau la sivyo life ban itawahusu