Yuko wapi Nyani Ngabu?

Yuko wapi Nyani Ngabu?

Status
Not open for further replies.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..huyu mkuu baada ya kumfunguLia uzi Shunie .." Shunie sasa waweza jiita Mr.Genta....

bahati mbaya shunie naye akafungua uzi " Kwa Davet Wangu" ..

Daaahhh mkuu Genta akapotea!!!....bado nawakumbusha ,usimfungulie uzi mwanamke wa JF km huna uhakika wa mahusiano yake
Si unajua zile mambo zetu unakuja kumshkuru kaka asante sana umechelewa niko na mtu Putin huna akili kabisa [emoji3]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom