Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ku-surrender kirahisi hivyoMkuu vipi mbona tunapigana Vikumbo kwa huyu mtoto nikuachie!
kumbe mnajuana?me nilidhani umeamua kumuandama tu.basi haina kwere,wewe endelea kujitafunia tu.Mkuu vipi mbona tunapigana Vikumbo kwa huyu mtoto nikuachie!
Huku Pm hajazi server!? Hapa cha kuomba ni bando zipandishwe bei na simu za kuchina zifungiwe ili ukiona mtu jukwaani awe wa maana tuHaya uliyoyaandika hapa siungemtumia kama PM kuliko kujaza server za jf bila maana?
Kutajwa KAPUKU ni mwiko sio?Haya uliyoyaandika hapa siungemtumia kama PM kuliko kujaza server za jf bila maana?