understanding
Member
- Feb 17, 2013
- 75
- 34
jamani, tuna masiku sasa hatumsikii muzee mujanja a.k.a. PJ.. tulisikia tu kapata matatizo j3 alipokuwa akielekea kazini, matatizo gani? alipatwa na nini? yuko wapi sasa?
wadau, kuna mwenye kujua huyu mutu alipatwa na nini? mushikeli gali?? jana nilipita mjengoni nikasikia misemo tu haeleweki ajali, au nini??
tuhabarisheni mwenye habari
wadau, kuna mwenye kujua huyu mutu alipatwa na nini? mushikeli gali?? jana nilipita mjengoni nikasikia misemo tu haeleweki ajali, au nini??
tuhabarisheni mwenye habari
