Mimi nahitaji kujua wapi hiki kipaji kilipokosea kikapotea, VUMILIA wa Tatizo umasikini producer Allan Mapigo na Utanikumbuka chini ya Mika Mwamba
Basi atakuwa amefanya jambo la maana kuipa kipaumbele ndoa yake kuliko mziki lakini yule dada nyimbo zake nazipenda sanaItakuwa aliolewa, mademu wakiolewa tu muziki basi tena... hapa mifano mingi.
Yule ni kipaji kikubwa ambacho hakipo kwenye midomo ya mashabiki na kibaya zaidi bongo huwa hatuthamini wasanii ukipita umepitaVumi ni habari nyingine yule na dada naelewa sana ngoma zake has Duseh dushe