Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Leo nimesikiliza hii ngoma ya Makamua enzi zile za wakali kwanza. Ila hawa jamaa walikuwa wanajua bwana kweli wakati ukipita hata uwe wajua vipi basi muda ukiisha umeisha.
Ngoma kaitengeneza Allan Mapigo. Enzi zake ametengeneza ngoma nyingi za Banana Zorro, Hafsa Kazinja na hits kibao.
Alikuwa mkali sana wa Zouk ila siku hizi simsikii kabisa.