Yuko wapi Producer KGT?

Yuko wapi Producer KGT?

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Huyu jamaa amewatoa wasanii kibao kuanzia akina alikiba, Queen Darleen, hata Nai Nai Ommy Dimpoz na ngoma kibao ambazo huenda hujui kuwa ni mkono wake maana alikuwa haweki signature kwenye nyimbo. Hivi yupo bado au ashaachana na mziki?

Na vipi Tuddy Thomas na Mono Gangsta mme wa Aziza yule mtangazaji wa Clouds TV nao amekuwa kimya.
 
KGT ni baba ake Bob Junior......Bado yupo fiti na anaendelea kutengeneza beat kama kawaida na mwanae maeneo ya Magomeni
 
si kweli mmliki wa G records ndiye baba ake mdogo na bob junior jina lake ni Gulu Ramadhan...Kgt ndiye alikuwa producer na hana undugu wowote na kina sharobaro
 
si kweli mmliki wa G records ndiye baba ake mdogo na bob junior jina lake ni Gulu Ramadhan...Kgt ndiye alikuwa producer na hana undugu wowote na kina sharobaro
G Lover ndiye aliyewatoa akina Blue na Ally Kiba kabla hawajatoroka tunduni.
 
Back
Top Bottom