Kweli kabisa ila baraka ana dharau yule jamaa. Ude yeye kaandikia watu lakini hakuambulia kitu hadi kauawa kwa kuwa kibakaTena hao waandishi ndio daah,yule Baraka Da Prince hits zote kaandikiwa Goodluck ila hajawai kuongea.Matokeo yake ya kukosa shukrani leo nae anatembelea rim.
Mkewe ni nani?Kuna kipindi huyu mtayarishaji wa mziki aliwika sana baada ya kutengeneza ngoma kadhaa za Belle 9 kama Masogange, Nilipe Nisepe, n.k.
Hakuishia hapo alitengeneza ngoma kibao zilizowika sana enzi hizo,
Mara ghafla sisikii hata ngoma moja toka kwake?
Kwa anayejua hivi bado studio yake ipo?
Zaidi namuona mkewe yule mtamgazaji wa clouds Tv tu.
Jamaa alikuwa mkali sana aisee.
Daaah! Ude Ude aliandika hits kibao sana.Kweli kabisa ila baraka ana dharau yule jamaa. Ude yeye kaandikia watu lakini hakuambulia kitu hadi kauawa kwa kuwa kibaka
Hii ni mara ya pili naona unamponda Zest kwenye mada za ma producer..Maproducer wana hali mbaya, Zesti sasa hivi pamoja na hiti zote alizo myengenezea Aslay karibia 14,ila sasa hivi ukimnunulia mzinga mkubwa wa Konyagi ana kunyongea biti. C9 kapiga chini maswala ya uproducer sasa hivi kafungua banda anauza mitumba. Huyo S2kizzy sasa sababu wa moto baada ya miaka miwili anarudi kwenye msoto.
Halafu wasanii kila siku wanalalamika wanaibiwa ila wanasahau wao wana waibia sana maproducer na kuwakatisha tamaa.
Namjua Zest na Studio yake ipo Tabata karibu na Reminant Primary School na sehemu hiyo kuna banda la mpira huwa na tizamaga EPL. So ninacho ongea na kijua (sikulazimishi ukubali).Hii ni mara ya pili naona unamponda Zest kwenye mada za ma producer..
Inaelekea alikugongea mkeo..
Kaka Zest hajaanza u producer Leo, yupo tangu enzi hizo pale Ilemi(Mbeya)..
alafu jamaa hawezi kufulia mazake yupo mamtoni anamuwezesha na pia ana nyumba ya urithi pale Mafiat,Mbeya anakula Kodi tu..
Na kibaya zaidi kwako ni kwamba Zest ana dharau sana hawezi shoboka na Mzinga wa nyagi na ndo maana kizazi Cha wasanii wenzake wote alikuwa anasoma nao(Quick rocka, Izzo b, Adam mchomvu, Maru.t.c )..walitusua kimziki kasoro yeye..
Nakusisitiza Tena Jamaa kaajaliwa dharau na pozi hivyo hawez ku beg Kwa mtu Wala kuhongwa nyagi..
Ile studio ambayo Rayvanny amemfungulia Rash don ilipaswa amfungulie zest kama zawadi lakini unajua walishindwana wapi..
Ukiingia Youtube andika Zest mkali- usiniache, kuna sehemu utamuona Amber lulu enzi hizo kule mbeya tunamuita Lulu bichwa, lakini unajua kwanini kamtengenezea jini kisirani kisha wameshindwana, jamaa ana dharau mbaya, hata mimi alikuwa mshikaji wangu ila sahibi hatuivi lakini siwezi msemea vibaya
Kama huwajui watu kaa kimya mzee, kisha kama alikugongea nawe tafuta mnyonge wako ummegee, haitapunguza maumivu ila itarudsha hadhi ya kiume..
Ni upuuzi lakini unamjua zest.??Namjua Zest na Studio yake ipo Tabata karibu na Reminant Primary School na sehemu hiyo kuna banda la mpira huwa na tizamaga EPL. So ninacho ongea na kijua (sikulazimishi ukubali).
Sijajua kama anagonga wake za watu, vipi wewe ushagongewa mke wako na Zest?
Yaani ukilijua jina halisi la mtu ndio unamjua,haya tufanye simjui. Ila njoo huku kwenye ofisi yake Tabata ushuhudie nilicho kiongee kwa nini tuandikie mate,umuone huyo jamaa yako wako unadai wa kisua,jinsi alivyochoka sometimes anawatengezea biti wasanii hata kwa mzinga wa Konyagi.Ni upuuzi lakini unamjua zest.??
Jina lake halisi ni nani.?.
Uproducer bongo njaa tuu, wengi wanaishia kupata umaarufu.
Nimeacha kujibizana nawe baada ya kugundua mpaka leo unaangalia mpira kwenye banda.. pole mzee..Namjua Zest na Studio yake ipo Tabata karibu na Reminant Primary School na sehemu hiyo kuna banda la mpira huwa na tizamaga EPL. So ninacho ongea na kijua (sikulazimishi ukubali).
Sijajua kama anagonga wake za watu, vipi wewe ushagongewa mke wako na Zest?
Hata mimi sina time ya kujibizana na ww, mwenye akili za kizamani unayezani kila anakaa ulaya ana hela.Nimeacha kujibizana nawe baada ya kugundua mpaka leo unaangalia mpira kwenye banda.. pole mzee..
We ni producer mkuu?Kilio cha ma producer/beat maker sio bongo tu hata mbele wanalalamika sana ! Ila bongo ni zaidi !
Wasanii wanapenda dezo sana nawafahamu vizuti sana .. wanaamini umaaruhu wao ni mtaji wakupata kila kitu for free...
Hawa aatu ukifanya nao kazi hakikisha una contract na umelipqa advance ,ukiingiza ushkaji imekula kwako! ..
Kuna msanii nilimfanyia kazi mbili za pesa kidogo tu, kazi ya kwanza ilipokamilika jamaa kimya kajikausha "wanajijuta wako busy na show"..
Akajisahaulisha kaja na ishu nyingine nimsave ... niakifanya chap..kisha kanyuti sasa hivi anaona noma hata salamu . Na me nimemkaushia tu nasubiri ajichanganye..
Mfano kama management ya Darassa walivyokuwa wanamzungusha the mix killer (young keys morento)
Aisee kuna kipindi kila ngoma touchMaproducer wenyewe wanakuambia upepo umeelekea kwake means kuna wakati uelekeo wa ngoma unakuwa kwako kila mwanamziki anatamani atoe ngoma kwako then unakuja kwa mwingine n.k hujiulizi wako wapi AM records, TTouch n.k
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]We unaangalia wapi boss?Nimeacha kujibizana nawe baada ya kugundua mpaka leo unaangalia mpira kwenye banda.. pole mzee..
Mi naangalia bar mkuu bora hata nilipie buku ya maji....[emoji23][emoji23]We unaangalia wapi boss?
Mkuu Kama hujui huyu ndio zest mwenyewe , imemchoma sana kumwambia anatengeneza beat kwa bapa ...piga chini ajitafute mwenyeweHata mimi sina time ya kujibizana na ww, mwenye akili za kizamani unayezani kila anakaa ulaya ana hela.
Siye yy na naongezea tu C9 kafungua banda sasa hivi anauza mitumba,uproducer kapiga chini na anakazi za wasanii kibao kasema achiachii mpaka apewe hela yake.Mkuu Kama hujui huyu ndio zest mwenyewe , imemchoma sana kumwambia anatengeneza beat kwa bapa ...piga chini ajitafute mwenyewe