Yuko wapi Rado wa "Usiulize"?

Yuko wapi Rado wa "Usiulize"?

Nafikiri Rado nimieongini mwa wasanii walikuaokua kwenye nyimbo ya Hip hop bila madawa ya kalapina alichana vizuri akiwa na Mansu lee
 
Huyu Rado wa usiulize si alishakufa au mi ndio kumbukumbu zangu zimepotea...!!!???
 
moja kati ya wasanii wa bongo hiphop walio anza kutumia "bwimbwi" ktk hatua za mapema za career yao ya mziki ni Jamaa mmoja alikuwa anaitwa bwana mkubwa.

alikuwa ktk kundi moja na kina temba.kundi lao lilikuwa linafahamika kama manduli mob.kwa waliosoma jiteute miaka ya 99-2002 watakuwa wanamkumbuka.

ningependa kufahamu alipo yule jamaa na anafanya nini kwa sasa.
 
yule bwege mtiririko wa mazoezi yake mimi huwa siuaelewi.....anaweza akakuta tofali njiani akalinyanyua na kuanza kukimbia nalo mtaani kama chizi....Zola bhana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hahaha duh! Nimeipata picha uliyoichora, nimeishia kucheka tu.
 

Maskini jeuri tumeshadata.....ktk hii ngoma,bwana mkubwa anasikika akichana verse ya kwanza.....jamaa alikuwa anaflo flani hivi tamu za kihuni.

inabidi uwe mzoefu wa kiswahili cha wahuni wa maskani ili umuelewe.


Ila ndio hivo tena,jamaa alianza kula madude kitambo sana.napenda kufahamu alipo kwa sasa.
 
yule bwege mtiririko wa mazoezi yake mimi huwa siuaelewi.....anaweza akakuta tofali njiani akalinyanyua na kuanza kukimbia nalo mtaani kama chizi....Zola bhana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] nimecheka sana maana huyu jamaa unaweza ukamuona asubuhi ana gogo na jioni ana matofari akiyagonga kwenye tumbo watu wanafanya mazoezi lakini ndugu yetu Zola ana pepo la mazoezi, na kwa nn asiende kushiriki MMA na wababe wa kwenye ring maana sijui haya mazoezi yake amerenga nn haswa!!
 
[emoji23] [emoji23] nimecheka sana maana huyu jamaa unaweza ukamuona asubuhi ana gogo na jioni ana matofari akiyagonga kwenye tumbo watu wanafanya mazoezi lakini ndugu yetu Zola ana pepo la mazoezi, na kwa nn asiende kushiriki MMA na wababe wa kwenye ring maana sijui haya mazoezi yake amerenga nn haswa!!
Umeonaeeeee...zola ni shida[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana ngoma yake moja ya kitambo sana inaitwa moto wa tipa.
 
Umeonaeeeee...zola ni shida[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana ngoma yake moja ya kitambo sana inaitwa moto wa tipa.
naipata sana mkuu! huyu jamaa video zake nyingi zimejazwa na ubabe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Maskini jeuri tumeshadata.....ktk hii ngoma,bwana mkubwa anasikika akichana verse ya kwanza.....jamaa alikuwa anaflo flani hivi tamu za kihuni.

inabidi uwe mzoefu wa kiswahili cha wahuni wa maskani ili umuelewe.


Ila ndio hivo tena,jamaa alianza kula madude kitambo sana.napenda kufahamu alipo kwa sasa.

Hili songi kitambo bwana mkubwa nalikubali sana
 
"Hata kwa ucheshi mi huwa sicheki"

Kiraka Rado toka kino
 
Back
Top Bottom