mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Alipofuka huyo ,ubabe una mwisho wake mkuu.Wadau nadhani sote tunamjua aliyekuwa Rais wa Zanzibar Salmin Amour.Rais Huyu amekuwa haonekani kwenye shughuli mbalimbali kama Marais Wastaafu wanavyoonekana,ziwe za Chama au Serikali je tatizo ni nini?
Duhhuyu nunda kakutana na mbabe wake..
Commando MACHO
Kwani sio ugonjwa wa kawaida alionao?huyu nunda kakutana na mbabe wake..
Commando MACHO
Anakula pensheni yake kwa utulivuWadau nadhani sote tunamjua aliyekuwa Rais wa Zanzibar Salmin Amour.Rais Huyu amekuwa haonekani kwenye shughuli mbalimbali kama Marais Wastaafu wanavyoonekana,ziwe za Chama au Serikali je tatizo ni nini?
Ulipotelea wapi? Namiss critics zako.Muulize Zitto na Maria Sarungi au Fatma Karume
Hongera angalia msiwe North Korea.Tulisha wagaragaza wapinzani aki BAK, Mwanahabari Huru etc hivyo tunajenga nchi tu kwa sasa
Kwa kutumia polisi na mahakama?Tulisha wagaragaza wapinzani aki BAK, Mwanahabari Huru etc hivyo tunajenga nchi tu kwa sasa
Aisee ...BAK hajapost hapa toka Sept 24.Tulisha wagaragaza wapinzani aki BAK, Mwanahabari Huru etc hivyo tunajenga nchi tu kwa sasa
Kwani una shida naye mkuu?Wadau nadhani sote tunamjua aliyekuwa Rais wa Zanzibar Salmin Amour.Rais Huyu amekuwa haonekani kwenye shughuli mbalimbali kama Marais Wastaafu wanavyoonekana,ziwe za Chama au Serikali je tatizo ni nini?
Juzi tu nimetoka kuniuliza hili swaliWadau nadhani sote tunamjua aliyekuwa Rais wa Zanzibar Salmin Amour.Rais Huyu amekuwa haonekani kwenye shughuli mbalimbali kama Marais Wastaafu wanavyoonekana,ziwe za Chama au Serikali je tatizo ni nini?
Mkuu tumia akili hata za kuku ningekuwa nina shida nae ningesema nina shida nae,lakini nimeuliza yuko wapi?Kwani una shida naye mkuu?
Sawa. Najua alipo. Yupo kwake na mkewe, nilijua una shida naye nikupe mawasilianoMkuu tumia akili hata za kuku ningekuwa nina shida nae ningesema nina shida nae,lakini nimeuliza yuko wapi?
Mpango wa Mungu.Huo ugonjwa kwanini asingeupata "NANILII", ili tupumzike na hizi zahma anazotuletea.
Nani huyoHuo ugonjwa kwanini asingeupata "NANILII", ili tupumzike na hizi zahma anazotuletea.