elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Nani anamkumbuka huyu dada aliwahi kuwika na nyimbo zake kama ngoma za kwetu, na fitina ambao ulikuwa kati ya nyimbo nzuri mara gafla baada ya album yake hiyo akapotea.
Kuna mwenye habari zake huyu dada?
Kuna mwenye habari zake huyu dada?