Yuko wapi Renee Lamira?

Yuko wapi Renee Lamira?

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,261
Reaction score
9,733
Nani anamkumbuka huyu dada aliwahi kuwika na nyimbo zake kama ngoma za kwetu, na fitina ambao ulikuwa kati ya nyimbo nzuri mara gafla baada ya album yake hiyo akapotea.
Kuna mwenye habari zake huyu dada?
 
Duh eti afu alikuwa hajui kiswahili. Anapasua yai 2! N btw wea is mercy galabawa?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ameokoka, ameacha muziki. Sasa hivi anafanya kazi Ernst&Young.
 
nani anamkumbuka huyu dada aliwahi kuwika na nyimbo zake kama ngoma za kwetu, na fitina ambao ulikuwa kati ya nyimbo nzuri mara gafla baada ya album yake hiyo akapotea.
Kuna mwenye habari zake huyu dada?

Mkuu na picha tafadhali

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ameokoka, ameacha muziki. Sasa hivi anafanya kazi Ernst&Young.

Safi sana ndio maana napenda na nasisitiza sana kitu kinachoitwa shule...
Mziki ukienda kombo una pa kujishikiza....
Sio kina shilole mziki ukienda kombo shuke kichwani hamna anatafuta ukuta uko wapi ashushe pichu ainame apewe pesa so sad
Hongera zake renee
 
Alikuwa Barclays Bank kwa miaka kadhaa amehamia Ernst and Young ,yuko poa sana!ameokoka haimbi tena nyimbo zile labda atatoka na gospel!
 
renee.jpg
 
Nani anamkumbuka huyu
dada aliwahi kuwika na nyimbo zake kama ngoma za kwetu, na fitina ambao
ulikuwa kati ya nyimbo nzuri mara gafla baada ya album yake hiyo
akapotea.
Kuna mwenye habari zake huyu dada?

she is married pia
 
Nani anamkumbuka huyu dada aliwahi kuwika na nyimbo zake kama ngoma za kwetu, na fitina ambao ulikuwa kati ya nyimbo nzuri mara gafla baada ya album yake hiyo akapotea.
Kuna mwenye habari zake huyu dada?
huyu dada alikuwa amejazia wewe acha tu, ila familia yao yote wako vizuri baba yao alikuwa anafanya kazi africa development bank nchini ivory cost watoto wake wote ni full kifaransa, na aliwapeleka shule kisawasawa kama mnamkumbuka iluminata yule aliyekuwa tusker project fame ni mtu na dada yake.
 
Anadeka sana huyu mrembo yaani huyi mume wake kazi anayo!hata kula mchana mkiwa nae (Barclays) anasema amechoka kula anaona uvivu,atakula jioni!yaani full kudeka!ila anajitambua sana!!
 
Nani anamkumbuka huyu dada aliwahi kuwika na nyimbo zake kama ngoma za kwetu, na fitina ambao ulikuwa kati ya nyimbo nzuri mara gafla baada ya album yake hiyo akapotea.
Kuna mwenye habari zake huyu dada?


...Na jina lake halisi ni Irene Lwelamira
 
Anadeka sana huyu mrembo yaani huyi mume wake kazi anayo!hata kula mchana mkiwa nae (Barclays) anasema amechoka kula anaona uvivu,atakula jioni!yaani full kudeka!ila anajitambua sana!!

Hahaha anadeka penye kudekeka we wadhani angekuwa kaolewa na mtu mwenye maisha ya kulenga kwa manati angedeka basi
 
Anadeka sana huyu mrembo yaani huyi mume wake kazi anayo!hata kula mchana mkiwa nae (Barclays) anasema amechoka kula anaona uvivu,atakula jioni!yaani full kudeka!ila anajitambua sana!!

hahahhaaaa!am loving it
 
Back
Top Bottom