Mkuu umenikumbusha mbali sanaaHuyu said comorien alikuwa producer na muimbaji na sehemu kubwa ya wasanii waliofikisha mziki wa old bongo.
Jamaa kwenye vinanda alikuwa yupo poa na kutengeneza mabiti kama.
Nyimbo za msanii pasha ,TID nyota yangu na n.k
Huyu jamaa ukimweka na bizzman walitendea mziki upande wa vinandaView attachment 2525546
Atakua france mana wacomoro wengi wako huko,kwao hali ngumu
Jamaa alikuja na akina Nyoshi kama mpiga kinanda, ukiwa mpiga kinanda ni rahisi kuwa prodyuza wa muzikiDah mwamba alikuwa fundi sana. Nyimbo ya Presha Hafsa Kazinja alishirikishwa Banana mkono wa Alan Mapigo na Comorien ni ngoma itaishi kwa vizazi vingi.
Alirudi Comoro baadae akaenda France nadhani yuko huko mpaka leoHuyu said comorien alikuwa producer na muimbaji na sehemu kubwa ya wasanii waliofikisha mziki wa old bongo.
Jamaa kwenye vinanda alikuwa yupo poa na kutengeneza mabiti kama.
Nyimbo za msanii pasha ,TID nyota yangu na n.k
Huyu jamaa ukimweka na bizzman walitendea mziki upande wa vinandaView attachment 2525546
Upo na demu geto kakulalia kifuani anaimba nyimbo kama katunga yeye ,harafu msela mwenyewe Hela unasubiria upige mizinga Kwa dingiMkuu umenikumbusha mbali sanaa