chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Huyu said comorien alikuwa producer na muimbaji na sehemu kubwa ya wasanii waliofikisha mziki wa old bongo.
Jamaa kwenye vinanda alikuwa yupo poa na kutengeneza mabiti kama.
Nyimbo za msanii pasha ,TID nyota yangu na n.k
Huyu jamaa ukimweka na bizzman walitendea mziki upande wa vinanda
Jamaa kwenye vinanda alikuwa yupo poa na kutengeneza mabiti kama.
Nyimbo za msanii pasha ,TID nyota yangu na n.k
Huyu jamaa ukimweka na bizzman walitendea mziki upande wa vinanda