Yuko Wapi Said Maulid-SMG?

Gazeti la mwnaspoti lilituletea makala yake mwaka jana, jamaa yupo kwao Kigoma akiendelea na shughuli za kilimo
 
Acha kama mkuu!! unamuongelea gaucho huyu aliestaafu jana ama wa mtaani kwenu!!

Eeeee!! baba tena, dah mkuu umenikumbusha mbali sana,

Baba yangu alifariki nikiwa katikati ya mtihani wa NECTA tena ilikuwa soma la GEO (RIP mzee wangu)

asante.

Ondoa shaka mkuu yalishapita.

sina hakika kama nikikwambia nilifeli au kufaulu itakusaidia.

wacha maisha yaendelee mkuu!!
Hongera kwa hekima yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…