Nimejitoa muhanga kushambuliwa na wananchi😂😂Niliogopa kusema[emoji55][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Fatma Shemweta nae sijui yupo bado!!
Kwa kweli by then tulikua tunamchekaga balaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]Nimejitoa muhanga kushambuliwa na wananchi[emoji23][emoji23]
Mbona wanawake hampendaniKazi yake ni nzuri kiukweli, nakumbuka enzi zake startv kipindi chake kilichangamka ila alikua anavaa maronya tena crazy colours kwa sana..
nimemuoa
Kuna miili baadhi ya nguo hazipatani kabisa.nafikiri hakuwahi kuujulia mwili wake unahitaji mavazi ya namna ganiHajui kuvaa yule dada , hajawahi kupendeza at all. Yeye na lotus wa Eatv ni twins
Wenye hasira kaliNimejitoa muhanga kushambuliwa na wananchi😂😂
We jamaa ni muongo sana wewe. Kwanini hivyo lakini?Nasikia anaenda wasafi muda si mrefu, bado wanaandaa kipindi.. Ukumbuke ni rafik mkubwa sana wa diamond platnumz.. Alimsaidia sana diamond kipindi anatoka.. Jamaa anarudisha fadhila
Ni kweliHizo chuki binafsi, acha roho mbaya... Mm binafsi na appreciate Sana kazi yake..
Enzi hizo 2009, nilikuwa namtazama Star tv kwenye kipindi cha Bonga na star tv na kile cha kuwahoji mastaa!
Unaweza kuta ndo mwanzilishi wa huu uzi!
Wanawake hampendani!Hajui kuvaa yule dada , hajawahi kupendeza at all. Yeye na lotus wa Eatv ni twins
Hajui kuvaa yule dada , hajawahi kupendeza at all. Yeye na lotus wa Eatv ni twins