herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,143
- 4,724
Yule ni baba yakeMpo wapi nyie..? mbona alifariki ajali ya helikopta.
Alipayuka yapi yanayo mgharimu?Dogo alikua kiburi sana,alidiriki kumnyanyulia mdomo waziri wa ujenzi,kwa bahati mbaya au nzuri waziri ndiye rais wa sasa na yeye ndiye mwenye maamuzi ya nani agombee wapi nani abaki nyumbani.
Kiufupi ni kwamba do hatopata hata ukatibu tarafa mzee mkubwa atakapo toka madarani.
Mpo wapi nyie..? mbona alifariki ajali ya helikopta.
Aliyefariki ni Baba yake acha kupotosha mkuuMpo wapi nyie..? mbona alifariki ajali ya helikopta.
Huyo alikuwa baba yakeMpo wapi nyie..? mbona alifariki ajali ya helikopta.