Yuko wapi siku hizi aliyekuwa meya wa manispaa ya ilala maarufu kama Jerry Slaa?

Yuko wapi siku hizi aliyekuwa meya wa manispaa ya ilala maarufu kama Jerry Slaa?

Dogo alikua kiburi sana,alidiriki kumnyanyulia mdomo waziri wa ujenzi,kwa bahati mbaya au nzuri waziri ndiye rais wa sasa na yeye ndiye mwenye maamuzi ya nani agombee wapi nani abaki nyumbani.
Kiufupi ni kwamba do hatopata hata ukatibu tarafa mzee mkubwa atakapo toka madarani.
Alipayuka yapi yanayo mgharimu?
 
Back
Top Bottom