Yuko kenya happo na sudan..mumewe msudan..mtamu balaa mumewe[emoji36]
kwa hiyo umepita nae..Yuko kenya happo na sudan..mumewe msudan..mtamu balaa mumewe😤
Show show🤣👍[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lete pic tuone
Show show[emoji1787][emoji106]
Kawa mmama..mayb anatumia msuba...who knows...rangi adimu hiyoHii sio dark bali darkness [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na huyo V2 sasa km teja jamani
Kawa mmama..mayb anatumia msuba...who knows...rangi adimu hiyo
Jamani...Msuba peke ake nakataa!!! Kuna vingine anaongeza kichwa km kuku kishingo jamani!!!
ya v2 ilitanguliaNadhani ya v2 maana kipindi kile hata rehema hakua juu.
Hata kipindi hio ngoma yake inatoka alikuwa anaonekana kama ni mtumiaji wa V2Hii sio dark bali darkness [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na huyo V2 sasa km teja jamani
Hata kipindi hio ngoma yake inatoka alikuwa anaonekana kama ni mtumiaji wa V2
Sijajua labda ndio jinsi alivyoHuyu ni mteja
Alifariki mbona kitambo sn
Hii sio dark bali darkness [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na huyo V2 sasa km teja jamani
Duhwatu mna test tofauti sana hapa duniani wacha nami nijifunze kupuliza bange labda nitakuja kuwa na taste ya kipekee.Show show🤣👍