mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hata kambwangwa ana historia yakeKomakoma ina historia bwashee.
Makongoro Nyerere katesa sana mitaa hiyo!
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kambwangwa ana historia yakeKomakoma ina historia bwashee.
Makongoro Nyerere katesa sana mitaa hiyo!
Mungu ambariki bwashee!
ana asili ya kiarabu huyu jamaa?
mwaka 1995 nilikosea nikapanda tawaqal mbeya dar,kwanza ile asubuhi pale stand aliletwa na teksi halafu wakambeba kutoka kwenye teksi mpaka kwenye usukani,kwa kweli sikufurahia safari manake huo mwendo ni Mungu anajua,tulifika Dar saa tisa mchana
HahahahAlikuwa mlevi anavuta fegi na anakula mirungi na anakula yale mavilevi ya wahindi na waarabu sijui tambuu sijui nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao ndio almaarufu wa Mwananyamala wakiongizwa na Mwinyijuma pale ilipozaliwa Tanu then mzee Kambangwa, mzee Komakoma pale A alikuwepo mzee Majambo ukienda kulia unamkuta mzee Kopa kule B unamkuta Manjunju na mama Zakaria ukirudi tena komakoma unamkuta mzee Kamtawa Said Tanu na mbele yake ndio kwa Songambele.Hata kambwangwa ana historia yake
Ova
Mzee mwinjuma yeye aliwapa ccm eneo lake lote haha hawakuwambuka hata familia yakeHao ndio almaarufu wa Mwananyamala wakiongizwa na Mwinyijuma pale ilipozaliwa Tanu then mzee Kambangwa, mzee Komakoma pale A alikuwepo mzee Majambo ukienda kulia unamkuta mzee Kopa kule B unamkuta Manjunju na mama Zakaria ukirudi tena komakoma unamkuta mzee Kamtawa Said Tanu na mbele yake ndio kwa Songambele.
Kitambo sana!
Kuna mshikaji wangu anaitwa Ally King bado yuko mitaa ya komakoma na Ras Saidina Mwale!
Unajua chanzo cha Giriki kufingiwa kuendesha gari za abiria? Ni hivi Shabiby ndio kwanza alikuwa ameanza route ya Songea, hivyo madereva wakae walikuwa hawana uzoefu na hiyo barabara. Giriki akatumia mbinu hii chafu ya kuchomoa fuse za break kitu ambacho kilisababisha ajali mbaya sana ya basi la Shabiby katika kona za Lukumburu.Atamzuga nani wakati watu wapo hiyo road kila siku wanajua hadi wapi kuna shimo na wapi hakuna shimo na leo yupo dar kesho mbeya kipi ambacho kitakua kigeni kwake Mkuu hao wanayajua hadi magari ya kampuni za coca au bia ambayo yalikua yanatoka mbeya wanapishana kila siku kona za hiyovi anakwambia Kona mbili zijazo tutakutana na roli la coca kwa sababu wapo humo kila siku na muda wa magari ya kampuni zingine wanajua pia ila wewe ukiambiwa utashangaa kweli...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikuwa mlevi anavuta fegi na anakula mirungi na anakula yale mavilevi ya wahindi na waarabu sijui tambuu sijui nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Songambele yupi mnazungumzia wa songea au?Mzee mwinjuma yeye aliwapa ccm eneo lake lote haha hawakuwambuka hata familia yake
Kambwangwa alikuwa mjanja alipofatwa wakati wa kujenga nhc,alipozwa pesa na eneo lile mpaka leo ana nyumba 3 alipewa
Kuna wazee wengine wa zamani walikiwa na akili sana kama akina songambele
Ova
Rc mstaafu..mustafa songambeleSongambele yupi mnazungumzia wa songea au?
Hata simjui, ila songea kule kuna eneo kubwa na nyumba nzuri zipo km 8 hivi, ndo wanapaita kwa songambele, sasa sijui ni huyo, ila nasikia alikua mtumishi wa serikali kastaafu, japo sijawahi kumuona huyo mzee mwenyewe.Rc mstaafu..mustafa songambele
Ova
Ni kwake basi,maana songea ndy kwaoHata simjui, ila songea kule kuna eneo kubwa na nyumba nzuri zipo km 8 hivi, ndo wanapaita kwa songambele, sasa sijui ni huyo, ila nasikia alikua mtumishi wa serikali kastaafu, japo sijawahi kumuona huyo mzee mwenyewe.
Yupo kinondoni mwananyamalaHata simjui, ila songea kule kuna eneo kubwa na nyumba nzuri zipo km 8 hivi, ndo wanapaita kwa songambele, sasa sijui ni huyo, ila nasikia alikua mtumishi wa serikali kastaafu, japo sijawahi kumuona huyo mzee mwenyewe.
Oooooh bas sawaah.Ni kwake basi,maana songea ndy kwao
Kawekeza sana tokea enzi za nyerere
Ova
Bas sawaahYupo kinondoni mwananyamala
Kwake
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah
Ova