Hiyo ya kuunganisha nadhani ndo kazi anayoijua kwa ufasaha maana ni chawa pro-max kiasili,hizi nyinginezo analazimisha tuuNamjua vzr sana!na akinionaga ananiamkia
Mara ya mwisho nlimuona breakpoint kino kama kawaida kakaa na matajiri kutoka kinda ya ziwa,shuguli yake si unaijua
Mzee wa kuunganisha[emoji23][emoji23]
Ova
Hat simjui huyo mie.kama unamjua huyo jamaa utaelewa nasema nini
Ni kampuni pacha na upendo travellersIvi budget lilikua na basi la nani
Yah nlipandaga tawaqal mbeya darmkuu hatari akikaa kwenye hiyo gari engine nyuma utafuraia shoo...
Zilikuwa za Upendo, kipindi cha miaka ya 2008 alikuwa na basi nyingi akawa ameziweka makundi matatu Budget,Upendo Coach, Upendo Travelers. Mbeya-Dar alikuwa anatoa gari 4 mpaka 5 kwa siku. Upendo Travelers moja ilikuwa inatoka mwisho inaokota abiria wasio na tiketi na wanapiga debe Mbeya-Dar elfu 18.Ivi budget lilikua na basi la nani
Hat simjui huyo mie.
Wewe mwenzanguKiswele na special coach.. Dar songea
Yaan nipande gari huku roho ina dadalika? Hapana kwa kweli siwezi. Lazima nishuke tyuuh.ahahaha basi nna uhakika hujawah kupanda basi lenye dereva jeuri anaijua gari kama huyo mkuu yan nna uhakika, ukipanda gari ya jamaa roho mkononi moja kwa moja
So now kabaki na upendo tu na sidhani kama ana basi mpyaZilikuwa za Upendo, kipindi cha miaka ya 2008 alikuwa na basi nyingi akawa ameziweka makundi matatu Budget,Upendo Coach, Upendo Travelers. Mbeya-Dar alikuwa anatoa gari 4 mpaka 5 kwa siku. Upendo Travelers moja ilikuwa inatoka mwisho inaokota abiria wasio na tiketi na wanapiga debe Mbeya-Dar elfu 18.
Ndio, Saizi kazikimbia body za kuchonga yupo na Higher.So now kabaki na upendo tu na sidhani kama ana basi mpya
Kiswele alikuwa na ligi kubwa sana na Msae Special Video Coach! Enzi hizo mkitoka Dar saa nne asubuhi , Songea mtafika saa tisa za usiku!!!Daaah. Na sisi wa enzi za Kiswele na Comfort tujikumbushege basi
Akili nyingine bana badala ya kuuliza kwanza kakimbilia kuchonga na kupoteza pesa yake......Ndio, Saizi kazikimbia body za kuchonga yupo na Higher.
Amewahi kuchonga body ya basi ilikuwa ndefu Sana ikakataliwa kuingia barabarani.
Yaan nipande gari huku roho ina dadalika? Hapana kwa kweli siwezi. Lazima nishuke tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]
🤣Alikuwa mlevi anavuta fegi na anakula mirungi na anakula yale mavilevi ya wahindi na waarabu sijui tambuu sijui nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]