Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Kuna ndugu yangu alikuwa dereva kipindi hicho anasema Giriki alikuwa ana disconnect taa za nyuma za brake hivyo kama unamfata anavyoshuka miteremko ukiamini haitumii breki lazima upotee au kupata ajali.Huyu Giriki nasikia alikuwa anatabia ya kuwaingiza wenzake chaka hasa wanaposhuka mlima Kitonga,yani akishuka anamzuga wa nyuma yake kwa taa ili aone mlima mdogo mwisho wa siku wanyuma yake anashindwa kukontro gari anapata ajali'hii ni kweli au uzushi tu?
Lukumburu hiyo bwashee!Haikua kitonga,zilikua zile kona za kwenda songea,alikua anatoa fuse ya taa za break,kama amekutangulia kwenye kona anakanyaga break kwa kua fuse katoa huoni,unakuja moto mara kona hii hapa unaanza kuhangaika nayo
Matajiri wa Njombe na Makete huko ,walikuwa na Mabus mengi kama Lupelo, Mwafrika, Mwidambe.Nissan Diesel UD nazo zilitikisa sana bwashee.
Makete Bus walitoa mbili Dsm - Njombe zilikuwa moto chini na mzee Kiwanga wa Makambako alitoa mbili zikiitwa Ilanga Moto!
Hata mabasi ya Taqwa Dar - Lilongwe na Dar - Mombasa zilikuwa Nissan tupu!Konoike/kajima walikuwa na Nissan UD
Tipper zilikuwa balaa
Ova
Umesema kweli mkuuMatajiri wa Njombe na Makete huko ,walikuwa na Mabus mengi kama Lupelo, Mwafrika, Mwidambe.
Giriki ni Survival..madereva wa enzi zake 99% wameondoka na Ngwengwe!Mara ya mwisho nilipanda basi la Tawaqal nikitokea mkoani Ruvuma lakini kwa sasa ni muda mrefu Tawaqal zimeachana na route hiyo.
Nauliza Wahenga wale wa " Watu wa safari" huyu nguli wa barabarani dereva Giriki yuko wapi siku hizi?
Kazi Iendelee
cc: Bujibuji
Mkuu huyu Giriki simjui ila wanaomjua mambo zake wapo humu wanathibitisha makorokocho yake ya udereva.Atamzuga nani wakati watu wapo hiyo kila siku road wanajua hadi wapi kuna shimo na wapi hakuna shimo na leo yupo dar kesho mbeya kipi ambacho kitakua kigeni kwake Mkuu hao wanayajua hadi magari ya kampuni za coca au bia ambayo wanapishana kila siku kona za hiyovi anakwambia Kona mbili zijazo tutakutana na roli la coca kwa sababu wapo humo kila siku na muda wa magari ya kampuni zingine wanajua pia ila wewe ukiambiwa utashangaa kweli...
Takrim..Dar Nairobi Sirari Mwanza..Hata mabasi ya Taqwa Dar - Lilongwe na Dar - Mombasa zilikuwa Nissan tupu!
Grazia Venelare ndio zilikuwa zinamilikiwa na masista au nani?Umesema kweli mkuu
Widambe alikufa, Makete alifirisika na Lupelo aliuza kampuni kwa masista yeye akahamia Uingereza!
Taqwa inaypiga route ya kwenda kongoHata mabasi ya Taqwa Dar - Lilongwe na Dar - Mombasa zilikuwa Nissan tupu!
Hehe kiswele alitisha sanaWakuu Mrangi na johnthebaptist, mnakumbuka Gari za Kiswele malori na mabasi yote namba zake za usajiri zilikuwa zinaishia na 89? Yaani kama hivi TZ 1089, TZ 2189.
Sijui ndiyo masharti ya Wataalamu!?
Tajiri wa Widambe nasikia aligongwa na gari pale Mnazi mmoja Stendi?Umesema kweli mkuu
Widambe alikufa, Makete alifirisika na Lupelo aliuza kampuni kwa masista yeye akahamia Uingereza!
Hivi comfort hotel alivyofilisika hawakurudi tenaaaUmesema kweli mkuu
Widambe alikufa, Makete alifirisika na Lupelo aliuza kampuni kwa masista yeye akahamia Uingereza!
Matema beach naye alikuja vzr ila mwishowe akafeliTajiri wa Widambe nasikia aligongwa na gari pale Mnazi mmoja Stendi?
Miaka ya themanini huko mlikuwa mnaishije jamaniHakika maisha yanakwenda mbio sana maana mabasi yake yalitesa sana miaka ya 80 na mmiliki wake alioneka kama mtu aliekwisha yaweza maisha.
Kiswele nilisikia ni Kijiji huko Kama si Liwale nii Nachingwea . Ndio kwao huyo tajiri.Hehe kiswele alitisha sana
Ova