Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

Giriki
download.jpeg
 
Enzi za BUNDA BUS, zilikua moto balaa, mmiliki wake alishakufa kitambo, ni mwarabu. Mshkaji alikua peace and love

TAWFIQ NA TAKRIM TOURS kama mnazikumbuka enzi zake.


NAJMUNISA

JORDAN

MOHAMED TRANS

TANGANYIKA BUS

ZAKARIA
 
Mara ya mwisho nilipanda basi la Tawaqal nikitokea mkoani Ruvuma lakini kwa sasa ni muda mrefu Tawaqal zimeachana na route hiyo.

Nauliza Wahenga wale wa " Watu wa safari" huyu nguli wa barabarani dereva Giriki yuko wapi siku hizi?

Kazi Iendelee

cc: Bujibuji
Yule jamaa alikuwa akipita mafinga pale akitokea tunduma kuanzia changarawe ni full bati watu wakiiona utasikia kisu hicho pisheni! na amewahi endesha basi la songea-mbeya likiitwa Turbo express hatari sana huyu mwamba,where are you my legend?
 
Giriki ni kweli alikua anakimbiza sana bus na sifa yake kuu hajawahi pata ajali alikua makini mno mimi nimepanda bus zote alizoendesha maana kila mwenye bus mpya anapanda dau ili kutengeneza soko ila zingine ni chai tuu sio katili wala hana roho mbaya ya kuwasababishia watu ajali na alikua na roho ngumu mno kwa kutowaogopa trafiki na polisi yeye dakika chache kupelekwa central bus na abiria ilikua kitu cha kawaida ilifikia mpaka RTO wa Iringa akatoa angalizo kwake akipita na bus yeyote akiiendesha ataenda jela ikabidi abadili njia ya Mwanza aliipoona wanamfatilia akaingia kwenye maroli ya songea yanayobeba makaa ya mawe sasa hivi alikua kwenye roli za Tanzania zinazopeleka mizigo DRC mimi mwenyewe alikua rafiki wa ndugu yangu ila nikiona dereva ni yeye hilo bus narudisha tiketi nisharudisha mara mbili ukikata unaambiwa dereva sio giriki baadae ukimuona unaleta uzushi na tiketi wanarudisha fedha kwa sababu ishu ikiwa mbaya wanajua jamaa ana misala vituo vyote vya barabarani bora mmalizane mnazi mmoja hapo...
Dah,jamaa ana moyo wa chuma.
 
Kuna ile iliitwa Navalonge Swela Dar - Iringa

Tulitoka Iringa saa 1:30 usiku tukaingia Dar kule Shimoni sokoni Kariakoo saa 9:17 alfajili.

Enzi zile ngoma zilikuwa zinateleza bwashee.... Hii Navalonge Swela ilikuwa ni Leyland Victory inapanda Kitonga kama Scania!
Dah ndugu umekumbuka hadi leyland victory wengi walisema ni mbadala wa scania KAMATA walikuwa wa kwanza kuzimiliki kwa kweli zilikuwa zinajitahidi sana milimani.
 
Ah mm dar nishakuwa konda kwenye coaster
Za Italy trans na kuna coaster ya baharia mmoja ilikuwa ina chata time will tell
Wamilik wote hao walikuwa wajanjajanja wa zamani,na ili kuwa kufanya kazi na watu kama hao na wakukubali lazima uwe mjanja

Ova
Kuna moja iliandikwa ez come ez go posta-mwenge ilikuwa bomba sana.
 
Atamzuga nani wakati watu wapo hiyo kila siku road wanajua hadi wapi kuna shimo na wapi hakuna shimo na leo yupo dar kesho mbeya kipi ambacho kitakua kigeni kwake Mkuu hao wanayajua hadi magari ya kampuni za coca au bia ambayo wanapishana kila siku kona za hiyovi anakwambia Kona mbili zijazo tutakutana na roli la coca kwa sababu wapo humo kila siku na muda wa magari ya kampuni zingine wanajua pia ila wewe ukiambiwa utashangaa kweli...
Usiwe mbishi wewe,shabiby iliua wate akapona mtoto mdogo kwa ujinga huu
Dreva alifanyiwa ujinga huu
Jamaa Taa za break alitoa
 
Usiwe mbishi wewe,shabiby iliua wate akapona mtoto mdogo kwa ujinga huu
Dreva alifanyiwa ujinga huu
Jamaa Taa za break alitoa
Kama iliua wote wewe umejuaje kama sio habari za kupika hizo kwanye ajali yaani yeye awe anasababisha tuu ajali kwa wengine harafu yeye awe anapona miaka nenda miaka rudi akili za wapi hizo ushawahi kuendesha bus wewe likiwa mwendo wa kasi ni kama karatasi na mtu anaogopa gari ya kutoka nyuma sio mbele inapotokea ajali ya nyuma ni rahisi gari kuchochora zaidi...gari ya nani uguse taa ya breki akuangalie wakati hiyo kesi ya mwendokasi tuu alikua anafukuzwa kazi...
 
Matema na kiswele walikuwa na scania injini nyuma kuna isuzu mv 118 ya matema maarufu mv utelezi ikifika tambalale scania zilisanda!
we kweli kitambo
Mv 118 zilikuwa zinakimbia sana Sadiq line wa dar moro alikuwa nazo, Mwendowa saa , matema beach etc .
hazikuhudumu miaka mingi zote zikawa hoi zimechoka , zilizobaki sasa ni staff bus kwa baadhi ya taasisi za serikali
 
Back
Top Bottom