....Hivi mbona jana JK hakuhojiwa na Rose MWAKITWANGE kama ilivyokuwa imepangwa ....maana yule dada ASHA MTWANGI aliyemuhoji ni moja ya waajiriwa wa IKULU chini ya kurugenzi ya habari ........inayoongozwa na SALVA RWEYEMAMU...na kuna wengine pale wakiwamo waandishi wasaidizi waandamizi ie Primi Kabanga...na wengine waandishi ambapo mmoja wao ni Huyu ASHA MTWANGI....
SO tuseme mahojiano ya jana yaliandaliwa na kuendeshwa na kurugenzi ya mawasiliano ya Rais.....
Mimi niliposoma hapa jamvini kwamba Rose Mwakitwange asingefanya mahojiano kama ilivyokuwa kwa Dr Slaa na Lipumba basi nikajua kwamba utakuwa ni usanii mwingine. Hivi hawa jamaa wanadhani wanamdanganya nani na usanii wao? Hivi wanatuona Watanzania ni mbumbumbu sana mpaka wafanya usanii kiasi kikubwa namna ile? 2010 imekula kwao. 😛eace: