Tetesi: Yule Bwana sasa ameka kimya

Tetesi: Yule Bwana sasa ameka kimya

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Yule bwana wa mkoa fulani ambaye wengi wanamnasibu ni mtoto pendwa wa mkuu wa taifa sasa kimya matamko yote kwisha na sasa kila mtu anawajibika kwa sehem yake...
Ile clip ya mdudu kaa inapigwa na redio fulan nayo imepunguwa
Je wajuwa nini kimetokea....
Hehhehhe achachezea Magufuli chezea mkeo na totozako...
Yeye hajaribiwi.....
Wala serikali yake haina mshikaji...
Kama huamini tulia uone uondo wa picha kuelekea 2020...
 
Yule bwana wa mkoa fulani ambaye wengi wanamnasibu ni mtoto pendwa wa mkuu wa taifa sasa kimya matamko yote kwisha na sasa kila mtu anawajibika kwa sehem yake...
Ile clip ya mdudu kaa inapigwa na redio fulan nayo imepunguwa
Je wajuwa nini kimetokea....
Hehhehhe achachezea Magufuli chezea mkeo na totozako...
Yeye hajaribiwi.....
Wala serikali yake haina mshikaji...
Kama huamini tulia uone uondo wa picha kuelekea 2020...
Sidhani, kazi alizomshirikisha hawezi kumweka pembeni, pembeni ni kumuondoa kimoja, atatoa siri kinyume cha hivyo
 
Si tuliambiwa ndio mratibu wa waganga Na waganguzi wa kusafisha jumba la kipi baada ya baba mwenye nyumba kujikuta kalala kwenye mabanda ya tausi?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kuna tuzo uchwara kabeba huko kwa madiba eti..
 
Back
Top Bottom