Kuliko ifikie kutoa siri atafutwa duniani.Sidhani, kazi alizomshirikisha hawezi kumweka pembeni, pembeni ni kumuondoa kimoja, atatoa siri kinyume cha hivyo
Banyamulenge si mtanzania au huelewi hilo mpaka sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuliko ifikie kutoa siri atafutwa duniani.Sidhani, kazi alizomshirikisha hawezi kumweka pembeni, pembeni ni kumuondoa kimoja, atatoa siri kinyume cha hivyo
Mungu hakupi vyote wala hakunyimi vyote. Unapewa msamwanda bila mtoto.Hivi karibuni nilikutana na mtoto wa kike miaka 15. Alizalishwa akiwa na umri wa miaka 13 na. Nilisikitika sana.
Ila kuna familia mpaka zinaenda nje ya nchi kutafuta mtoto. Hii dunia bwana.
Na Bashite anamchezea haswa baba mwenye nyumba,Si tuliambiwa ndio mratibu wa waganga Na waganguzi wa kusafisha jumba la kipi baada ya baba mwenye nyumba kujikuta kalala kwenye mabanda ya tausi?
"Very"!Nimeweka kihehe kusisitiza kifo.Ingeibua shangwe kitaa!
I'm curious to understand something from this but my mind is so slow to grasp anything, funguka kidogo mkuuSi tuliambiwa ndio mratibu wa waganga Na waganguzi wa kusafisha jumba la kipi baada ya baba mwenye nyumba kujikuta kalala kwenye mabanda ya tausi?
Halafu BASHITE ni mlokole mchawiNa Bashite anamchezea haswa baba mwenye nyumba,
Kipindi cha vyeti feki kilipopamba moto baba mwenye nyumba alikuwa ameshaamua kumfuta kazi jumla, Bashite kupata taarifa hizo akaenda kuongea na wataalam wake usiku huo huo wataalamu wakamlaza dingi nje.
Asubuhi yake story ikabidi ibadilike Bashite akapewa kazi ya kufuatilia hilo suala kwa wataalam
Ule msambwanda unamsaidia nini BASHITE nabii wa waganga?
Mungu hakupi vyote wala hakunyimi vyote. Unapewa msamwanda bila mtoto.
Ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah Nimecheka Sana Ndugu YanguSi tuliambiwa ndio mratibu wa waganga Na waganguzi wa kusafisha jumba la kioo baada ya baba mwenye nyumba kujikuta kalala kwenye mabanda ya tausi?
Yule bwana wa mkoa fulani ambaye wengi wanamnasibu ni mtoto pendwa wa mkuu wa taifa sasa kimya matamko yote kwisha na sasa kila mtu anawajibika kwa sehem yake...
Ile clip ya mdudu kaa inapigwa na redio fulan nayo imepunguwa
Je wajuwa nini kimetokea....
Hehhehhe achachezea Magufuli chezea mkeo na totozako...
Yeye hajaribiwi.....
Wala serikali yake haina mshikaji...
Kama huamini tulia uone uondo wa picha kuelekea 2020...
Yule bwana wa mkoa fulani ambaye wengi wanamnasibu ni mtoto pendwa wa mkuu wa taifa sasa kimya matamko yote kwisha na sasa kila mtu anawajibika kwa sehem yake...
Ile clip ya mdudu kaa inapigwa na redio fulan nayo imepunguwa
Je wajuwa nini kimetokea....
Hehhehhe achachezea Magufuli chezea mkeo na totozako...
Yeye hajaribiwi.....
Wala serikali yake haina mshikaji...
Kama huamini tulia uone uondo wa picha kuelekea 2020...