GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
MmhKama kawaida ya Ali Kiba huwa hapendi kushindwa chochote na watu wa Madale,this time around kamjibu Mond,lkn kipindi hiki sio mziki tena ,
View attachment 613032 View attachment 613034 View attachment 613035 View attachment 613036 View attachment 613037
hahahahahuyo mtoto aitwe fiesta
Tigo fiest 2017 mara paap hiiii iiiii... hahaha wewe jamaahuyo mtoto aitwe fiesta
Huyo ni wa saba, tayari alikuwa na watoto watano. Akazaa Mombasa wa sita, ndiyo kaja kubebesha huyo msukumaMtoto wa 5 huyu wa nje Kiba punguza kupiga kavu
Hata mimi nahisi maana sifa za KE ni 2 tu..Anaonekana Ana msambwanda hatari
Ova
Mademu wengi wenye sura kama 'kobe' huwa ni watamu na mafundi balaa!so we mwache Kiba ale raha mkuu!Na nyie ' Wasanii ' wa Kibongo muwe mnaangalia na ' Mademu ' wa kuwa na kuzaa nao. Nadhani katika ' Mademu ' wote ambao nimewahi kuambiwa / kusikia kwamba wametoka au wanatoka ' Kimahusiano / Kibaiolojia / Kingono ' na Ali Kiba huyu anayeonekana ' pichani ' ni mbaya kuliko wote. Mimi pamoja na Umasikini / Ukapuku / Ungarambe wangu huu lakini sichukui ' Mademu ' wabaya na wenye ' Sura ' mbaya kama huyo aliyepewa Mimba na Kiba. Kumbe ndiyo maana Diamond yupo juu kwani hata ' Mademu ' zake wote ' anaowangono ' ni Wazuri na hadi sasa sijawahi kuona ' Demu ' yoyote wa Diamond aliye na ' Sura ' mbaya kama huyo hapo juu pichani.
ππππ halafu ujue umekosea kumtamka weee Magonjwa Mtambuka;Dada Mange anasemaje?
Duh.ππππ halafu ujue umekosea kumtamka weee Magonjwa Mtambuka;
Wenzio wanaita Da Mange sio Dada Mange hahahhahahhahaa
Papuchi yake yaweza kuwa tamu zaidi jokate mkuuHuyu demu ni wa kawaida sana hana kiwango cha kummiliki Kiba
Hivi yule aliyeimba nae nitarejea yupoje, hata hamisa sio mzuri kivile jamaniNa nyie ' Wasanii ' wa Kibongo muwe mnaangalia na ' Mademu ' wa kuwa na kuzaa nao. Nadhani katika ' Mademu ' wote ambao nimewahi kuambiwa / kusikia kwamba wametoka au wanatoka ' Kimahusiano / Kibaiolojia / Kingono ' na Ali Kiba huyu anayeonekana ' pichani ' ni mbaya kuliko wote. Mimi pamoja na Umasikini / Ukapuku / Ungarambe wangu huu lakini sichukui ' Mademu ' wabaya na wenye ' Sura ' mbaya kama huyo aliyepewa Mimba na Kiba. Kumbe ndiyo maana Diamond yupo juu kwani hata ' Mademu ' zake wote ' anaowangono ' ni Wazuri na hadi sasa sijawahi kuona ' Demu ' yoyote wa Diamond aliye na ' Sura ' mbaya kama huyo hapo juu pichani.
Hamisa wa kawaida sana mimi msanii ninayemkubali Bongo kwa uzuri ni Lulu Michael Elizabeth dah mtoto mrito mtoto kihepeHivi yule aliyeimba nae nitarejea yupoje, hata hamisa sio mzuri kivile jamani
Lulu ana kisura cha kitotoHamisa wa kawaida sana mimi msanii ninayemkubali Bongo kwa uzuri ni Lulu Michael Elizabeth dah mtoto mrito mtoto kihepe