Yule forward hatari wa Waydad sikumuona Jumamosi, Ijumaa kuna kiama

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Yule forward mweusi mwenye umbo kama drogba aisee sikumuona hata benchi jumamosi.

Ijumaa nakiona kiama kama kuna forward hatari kwa Sasa africa ni Mayele, yule wa mamelodi na huyu jamaa wa waydad.

Tuandae matanga kama taifa kuishusha bendera nusu mlingoti ni balaa tupu kule morocco.
 
Fuatilieni mpira acheni ushabiki maandazi
 
sio huyo wapo wengine pia
 
Ukiheshimika Kwa Jambo fulani jaribu kutunza heshima yako Kwa kukalia kimya mengine usiyoyajua vizuri. Nawaona hata wanasiasa Wenye heshima wanashobokea soka kishamba na kuishia kuchambwa tu.
 
Watu wamechafukwa mpaka wamekunyima likes

Aaaahaaa acha nikupe moja
 
AIBU NAONA MIMI.

KWELI UJINGA NI KIPAJI.

UPUMBAVU ULIONAO NI MZIGO MKUBWA SANA KWA HILI TAIFA.

FICHA UJINGA WAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…