technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Fuatilieni mpira acheni ushabiki maandaziYule forward mweusi mwenye umbo kama drogba aisee sikumuona hata benchi jumamosi.
Ijumaa nakiona kiama kama kuna forward hatari kwa Sasa africa ni Mayele, yule wa mamelodi na huyu jamaa wa waydad.
Tuandae matanga kama taifa kuishusha bendera nusu mlingoti ni balaa tupu kule morocco.
Una taka kuliaMnatia aibu kwakweli...yani akili zenu ni mbili..kila mtu Simba Simba..mnashindwa kujadili ya kwenu...
haya ndo yetu shubaaaamitiMnatia aibu kwakweli...yani akili zenu ni mbili..kila mtu Simba Simba..mnashindwa kujadili ya kwenu...
sio huyo wapo wengine piaYule forward mweusi mwenye umbo kama drogba aisee sikumuona hata benchi jumamosi.
Ijumaa nakiona kiama kama kuna forward hatari kwa Sasa africa ni Mayele, yule wa mamelodi na huyu jamaa wa waydad.
Tuandae matanga kama taifa kuishusha bendera nusu mlingoti ni balaa tupu kule morocco.
Yaani upoteze muda kujadili ushind wa yanga?Mnatia aibu kwakweli...yani akili zenu ni mbili..kila mtu Simba Simba..mnashindwa kujadili ya kwenu...
Ukiheshimika Kwa Jambo fulani jaribu kutunza heshima yako Kwa kukalia kimya mengine usiyoyajua vizuri. Nawaona hata wanasiasa Wenye heshima wanashobokea soka kishamba na kuishia kuchambwa tu.Yule forward mweusi mwenye umbo kama drogba aisee sikumuona hata benchi jumamosi.
Ijumaa nakiona kiama kama kuna forward hatari kwa Sasa africa ni Mayele, yule wa mamelodi na huyu jamaa wa waydad.
Tuandae matanga kama taifa kuishusha bendera nusu mlingoti ni balaa tupu kule morocco.
Watu wamechafukwa mpaka wamekunyima likesYule forward mweusi mwenye umbo kama drogba aisee sikumuona hata benchi jumamosi.
Ijumaa nakiona kiama kama kuna forward hatari kwa Sasa africa ni Mayele, yule wa mamelodi na huyu jamaa wa waydad.
Tuandae matanga kama taifa kuishusha bendera nusu mlingoti ni balaa tupu kule morocco.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kaa kwa kutuliaaa, subiri ufurahishwee.
Mkuu usipate tabu na hao simbilisi, hawana akili kabisa.Mnatia aibu kwakweli...yani akili zenu ni mbili..kila mtu Simba Simba..mnashindwa kujadili ya kwenu...