Yule Jamaa Owner wa Zeutamu wamem-deadisha?

Hahaha ila yule jamaa alikuwa ni mamba yao sana ..duh!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hadi kesho ungeniuliza ningekuambia mmiliki alikuwa ni Le mutuz!! The king of all social network!! Mzee wa mibebez!the field marshall!
 
Mimi hadi kesho ungeniuliza ningekuambia mmiliki alikuwa ni Le mutuz!! The king of all social network!! Mzee wa mibebez!the field marshall!
Alikuwa na Undugu na Le Mutuz labda na yeye alikuwa ana post ma vituz baada ya kufingiwa zeUtamu na yeye Le Mutuz Nation akaja na blogu ya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…