Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha linaanza kodi yangu ya nyumba imeisha nipo daslam hapo "nikawa naisikia Ngoma kichwani bora nirudi zangu kijijini nkaendelee kukata mkaa wa enz🤣
Huyu kuna miaka hapa katikati alipata tuhuma ya ulawiti huyu sijui iliishaje
Mkuu hao wote uliowataja waondoe wajaluo.Hahahajajaj
Wajita wasukuma wakurya wajaluo wakrrewe waikizu waikoma wanampenda sana hahaha
Nasikia kiingilio hadi jeroYupo, wiki iliyopita alikua anapiga show yake huku visiwani.
Unasikia kwa nani?Nasikia kiingilio hadi jero
Life is chenjeeebest nasso hajawahi kuwa NEMBO SOKONI.tatizo lake amekaa kishamba shamba hana muonekano wa kisanii,hapendi kujichanganya na watu maarufu mjini, atatoboa vp?huyo ni msanii wa vijijini,pamoja na akina kala jeremiah+20% wote hawa hawana MUONEKANO WA KISUPESTAR ila wana VIPAJI.
We kwakua umeolewa na wayahudi ndo unajiona matawi, FaqAlafu watu wale local snaa ndio wanamkubali snaa
Noma sana!Laif iz chenjeee
jamaa alikua story teller mzuri sana, mziki wa sikuhz sio tena story tellingHuyo jamaa hata Tanga walikuwa wanampenda Sana. Best naso na Ngoma zake kama Umedata na hela zao, Ediga, Mamu wa dar, nipe nafasi, Bora nirudi kijijini. Jamaa alikuwa anajua Sana.
Nna jamaa yangu yupo huko huwa ananiambia kuhusu show za huyo msanii wenu kiingilio hadi jero.Unasikia kwa nani?
Umekomenti kwa kejeli sana mkuu.
Jamaa yupo na maisha yake swaaafiii.
Akaiba mpaka dada yetu Sima IsayaBest Naso huko mikoani anajaza show kwa mwezi hakosi show za laki nane hadi million zaidi ya tatu nne
Kule Bukoba alikuwa anakuja na anajaza Sana .