toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Walikuwa wanaaka kumdurumu, haki ya mtu haipotei inachelewaIsuue imeenda fasta sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuwa wanaaka kumdurumu, haki ya mtu haipotei inachelewaIsuue imeenda fasta sana aisee
Na nmegundua NMB wapo active sana mitandaoni, hasa humuKumbe walikua wanafahamu vizuri ila viral ya mtandao inewatisha huenda wakapoteza ajira bure.
NMB ni benki nzuri sana Hilo lilikuwa tatizo la watu wachache tuJamani Asanteni,
Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.
Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.
Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa
Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao
Link ya kilichotokea⬇️
√ - NMB wagoma kurudisha hati ya nyumba, japo deni lao limeshalipwa lote
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana. Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa...www.jamiiforums.com
Na wanaharibu sana .Kuna wale watu wa mikopo wa NMB Gongo la Mboto..Moto wao unaenda kuwawakia hivi karibuni mambo wanayoyafanya wakishirikiana na madalali wauzaji wa nyumba kule chanika sio kama hatuyaoni na dawa yao iko jikoni.Md wa pale anatakiwa kujipanga kweli.NMB ni benki nzuri sana Hilo lilikuwa tatizo la watu wachache tu
Kama umekopa lipa deni la watu Mzee acha maneno mengiNa wanaharibu sana .Kuna wale watu wa mikopo wa NMB Gongo la Mboto..Moto wao unaenda kuwawakia hivi karibuni mambo wanayoyafanya wakishirikiana na madalali wauzaji wa nyumba kule chanika sio kama hatuyaoni na dawa yao iko jikoni.Md wa pale anatakiwa kujipanga kweli.
Kulipa ni muhimu Big Boss issue ni utendaji wao hao watendaji hawafuati utaratibu wa BOT na ndo maana mikopo chechefu wanapigwa mihela mingi kweli sababu ya tamaa zao hao watendaji unaojaribu kuwatetea (Kama na wewe ni mshirika wa hicho kitengo ridhika na mshahara wako, ukiendekeza upigaji, majuto yako mlangoni kwako.)Kama umekopa lipa deni la watu Mzee acha maneno mengi
Waliokua wameikalia hiyo hati ya Mama ni vizuri wakawajibika ipasavyo!!Jamani Asanteni,
Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.
Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.
Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa
Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao
Link ya kilichotokea[emoji3596]
√ - NMB wagoma kurudisha hati ya nyumba, japo deni lao limeshalipwa lote
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana. Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa...www.jamiiforums.com
Hongera kwake, vipi wamemlipa fidia ya usumbufu waliomsababishia kwa kushikilia hati yake wakati alishalipa deni lote?Jamani Asanteni,
Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.
Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.
Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa
Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao
Link ya kilichotokea⬇️
√ - NMB wagoma kurudisha hati ya nyumba, japo deni lao limeshalipwa lote
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana. Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa...www.jamiiforums.com
hakutaka mambo mengiWanatakiwa wamuombe radhi na kumlipa hela ya usumbufu wa muda na mapato ambayo angepata kama wangemrejeshea mapema
SureNMB ni benki nzuri sana Hilo lilikuwa tatizo la watu wachache tu
Hapana hakutaka mambo mengiHongera kwake, vipi wamemlipa fidia ya usumbufu waliomsababishia kwa kushikilia hati yake wakati alishalipa deni lote?