Haiwezekani!Ukute mtoa Mada ana familia na watoto
Nipewe ban nimekosa nini hapo bro😎Ukilimwa ban mi sitafurahi ujue [emoji16][emoji16][emoji16]
According to his profile ako na miaka 37Haiwezekani!
Emu tuondoke 😂😂😂😂😂Lokole kichefu chefu hehehe
Emu tuondoke 😂😂😂😂😂
Naomba msiondokeEmu tuondoke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mzee u-bani-we tena!Turipoti wote tuliokomenti kwenye uzi huu tulimwe ban ufurahi mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]
Atakuwa bado yuko kwa shemeji anapokonyana remote na watoto wa dada ake uyoAccording to his profile ako na miaka 37
Du Tanzania wanaume wanapungua sana kama mleta mada ni wa kiume.
[emoji23][emoji23][emoji23]Haha itakuwa aisee, diehard fan hataki crush wake achafuliwe [emoji23][emoji23]
Wengine hatupendi ugomvi wala matusi.
ni juma lokole uyuUkisikia roho za kichawi ni pamoja na ya huyu mleta posti. Kwani wewe unayeshinda JF umefanya nini kwenu?
Mkuu swala la kuwatag mamods achana nalo nyuzi watapitia wenyewe kwenye marekebisho watafanya swala la kuwatag tag kila mda ni dalili mbaya kama unayetumia hiyo I'd kweli ni mwanaume ila Kama ni upande wa pili kiroho swafi endeleaHapana.
TheOnlySurvivor, ni sababu ipi inapelekea usimkubali?Naomba ku declare openly kuwa huyu mtoa mada ni moja y watu nisowakubal humu jf.