Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ly udsmPdidy hua anaandika anachokielewa yeye tu,
Nyie muelewe au msielewe,yeye hilo hua wala hajali,
Inaonekana alisomea China coz ni toka kitambo sana,lugha ya Kiswahili inampiga chenga,
Ila Mimi nilisha mzowea,hua namuelewa.
Ujasiri wa kuukosoa muandiko wa Pdidy unautoa wapi?Kabla hamjalalamika uandishi mbovu, nawakumbusha hakuna aliyemlipia ada.
Ahsanteni.
Kumuelewa tumemuelewa ila da!Pdidy hua anaandika anachokielewa yeye tu,
Nyie muelewe au msielewe,yeye hilo hua wala hajali,
Inaonekana alisomea China coz ni toka kitambo sana,lugha ya Kiswahili inampiga chenga,
Ila Mimi nilisha mzowea,hua namuelewa.
Kuna mpuuzi mmoja ana jina kubwa huku we mshezi huna hata degree nikamwambia nikingia PhD hata ukoo wako nawahesabu paka wewe njoo juliana 2020 nkajipanga hadi na wasiojulikanaUjasiri wa kuukosoa muandiko wa Pdidy unautoa wapi?
Ila Pdidy Jf hawakutendei haki ume-join 2007 hadi leo wameshindwa kukupa hata badge ya Platinum member? Active mpeni Pdidy heshima yakeKuna mpuuzi mmoja ana jina kubwa huku we mshezi huna hata degree nikamwambia nikingia PhD hata ukoo wako nawahesabu paka wewe njoo juliana 2020 nkajipanga hadi na wasiojulikana
Hahaa akaishia kwahio unafanya makusudi didy nkamwambia mmesoma kuandika ama kutia saini tukiandika wote labda tuwe bar umeona vyeti paka wewe......
Alivyomjinga nilijichanganya nkapeleka cheti cha kazi nilikuwa mfanya kazi bora akaja humu huyu mngese kasomaa jaman na anafanya makusudi
M nkiwa jf na sonzoziana wine ama dompo
Sishiki jf bila kunywa kawambie wahuniwenzio shule atujaenda kuandika pambafu kunywa pombe ondka nkamchukulia na bajaji sijui kama alilipa yote maana alichukua hela achelewi kusihshia afrikana
Kakakaa tule tudogo aisee alitesa kawe na mbezi beach acha tu nilitoa maelezo kuna siku bado kidogo anishike makalio nkajitoa muhanga hata wewe mpwa akashtuka mpwa nenda dahaha nkamwambiabyameisha nkoo kesho tule bia oub yetu toka sikuhio nikirudi usiku nikimwona nakuwa na 3000 mpaka 5000 yake woiiiiWezi ni kuwatanguliza tu maana wanarudisha nyuma maendeleo na wanaleta umasikini na majonzi kwa familia.
Akamulize Dk chamuriho sasaa ProfUjasiri wa kuukosoa muandiko wa Pdidy unautoa wapi?
Aisee!Huna unachokijua kuhusu Wezi wa Kawe na kwa Taarifa yako Wezi ambao walitetemesha Kawe (kiasi kwamba Watu walikuwa hata hawalali na Polisi wa Kawe wakiongozwa na Polisi Rafiki yangu japo ni mwana Yanga SC Afande Bingwa walikuwa wakiwaogopa) ni Wawili tu Marehemu Mbuzi yake Kamba na Kinyembe.
Huyu Marehemu Mbuzi yake Kamba Yeye alikuwa akija kufanya Tukio Kwako kwanza anaanza Kumkaza Mkeo huku unaona na ukijifanya kuleta Kibesi nawe anakubinjua vile vile na Kukuweka nao Wote myuuuuuuuu mbele ya Mkeo ambaye alishaliza Kukazwa nae Kunakotukuka.
Marehemu Kinyembe Yeye alikuwa akikukuta tu popote akikuambia mtolee Simu au Waleti yako ukibisha tu basi ndani ya Sekunde mbili Uso wako unamwaga Damu kwani alikuwa akitembea na Viwembe Vikali mfukoni mwake na alikuwa akichomoa Nyembe hairudishi mfukoni mwake hadi akuchane.
Marehemu Mbuzi yake Kamba aliuliwa Mbezi Beach mitaa ya Kona Baa baada ya safari hii kwenda Kuiba katika Nyumba moja Mwanajeshi Mmoja Commando ambaye hakai mbali sana na Viwanja vya alivyokuwa anamiliki Mzee Mmoja maarufu katika Serikali ya Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Mzee Kitundu.
Marehemu Kinyembe nae aliuwawa Kawe Mtoni (mitaa ya kwa Kavishe) baada ya Kumuibia Simu Mama Mjamzito na Kumchoma Bisibisi. Alivyofanya hilo Tukio Vijana wabeba Mchanga wakaamua Kumlia Timing ambako nae alivyokuwa Mjinga Kesho yake akaenda tena pale pale Kutega (akisahau kuwa alimchoma Kisu Mama Mjamzito na Kumuua) na Jamaa (wabeba Michanga) usawa wa Daraja la Malecela wakamuona ambapo walimkamata na Kumuua kwa Kifo kibaya sana cha Kishalubela (Kikatili) ambapo kuna Mwanangu Mmoja (hana Masihara kabisa) alimshindilia Kichwani na Msumari wa Nchi Sita ambapo uliingia Wote kisha Mwamba wangu mwingine Yeye akaamua Kuyatoboa kisha Kuyanyofoa kabisa Macho yake.
Huyu Marehemu Kinyembe Yeye alikuwa akiishi Nyumba iliyoko jirani kabisa inatazama na Mlango Mdogo wa Lugalo.
RAHA YA MILELE USIWAPE EE.....MWANGA WA MILELE USIWAANGAZIEHAPA MAJUZI KUNA MEMBER ALIWEKA UZI KUNA PIK PIK ZAIDI YA 200 PALE KAWE DARAJANI AMBAZO NILIWAPA INFO N MWIZI AKAKRUIIA KWENYE DARAJA
KWA HESHIMA KABISA NIWATANGAZIE MTOTO WA DALALI MUHA AMEFARIKI NA MAZIKO YAMESHAFANYIKA
KIJANA ALIPELEKWA SHAMBA HOSPT KAWE WAKAMPELEKA MUHIMBILI
HATIMAE KIJANA ALIFARIKI KESHO YAKE
NIWAJUZE TU WALE WANAOMJUA DK AMA AKA JAJA MWIZI MAARUFU TOKA KAWE NAE AMEFANIKIWA KUTUTOKA BILA KUAGA
RAHA YA MILELE USIWAPE EE.....MWANGA WA MILELE USIWAANGAZIE
WASIPUMZIKE KWA AMANI
AMEN
TAARIFA