Yule mwizi wa darajani Kawe alifariki dunia na kuzikwa

Yule mwizi wa darajani Kawe alifariki dunia na kuzikwa

Dk
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-115411_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-115411_Lite.jpg
    449.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-115407_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-115407_Lite.jpg
    373.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-115339_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-115339_Lite.jpg
    301.6 KB · Views: 2
looooh00000000000000000000p000000000000000000000000000000p000

Uyooo mtototoooo0
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-090256_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090256_Lite.jpg
    221.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-090249_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090249_Lite.jpg
    242.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-090330_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090330_Lite.jpg
    233.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240925-090345_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090345_Lite.jpg
    240.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-090347_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090347_Lite.jpg
    253.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-090409_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090409_Lite.jpg
    286.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-090357_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090357_Lite.jpg
    294.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-090237_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090237_Lite.jpg
    263.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-090247_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090247_Lite.jpg
    271.5 KB · Views: 1
nipe jinaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-115407_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-115407_Lite.jpg
    373.2 KB · Views: 2
Njendani

Wanachiii hapoo kwenyewee vipii kwenyewe shegaa wametakaa wenyee we na sisi tunawekaa

Kolo katakana nn kolo kapewaa nn kolo

.....amutaaa ameutaaaaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-025757_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-025757_Lite.jpg
    331.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-032639_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-032639_Lite.jpg
    334.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-032641_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-032641_Lite.jpg
    377.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-031713_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-031713_Lite.jpg
    255.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-090229_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090229_Lite.jpg
    288.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-090231_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-090231_Lite.jpg
    279.6 KB · Views: 2
Nimeokotaa dodo nimeokotaa dodo wa pekeeyangu
255....
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-025753_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-025753_Lite.jpg
    339.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-025750_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-025750_Lite.jpg
    304.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-025757_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-025757_Lite.jpg
    331.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-025850_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-025850_Lite.jpg
    301.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-031713_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-031713_Lite.jpg
    255.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240925-032641_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-032641_Lite.jpg
    377.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-025735_Lite.jpg
    Screenshot_20240925-025735_Lite.jpg
    288.6 KB · Views: 2
Pdidy hua anaandika anachokielewa yeye tu,
Nyie muelewe au msielewe,yeye hilo hua wala hajali,
Inaonekana alisomea China coz ni toka kitambo sana,lugha ya Kiswahili inampiga chenga,
Ila Mimi nilisha mzowea,hua namuelewa.
Ly udsm
2002

Masters niliipata xxxxx msijetusndama na wasiojulikana
 
Ujasiri wa kuukosoa muandiko wa Pdidy unautoa wapi?
Kuna mpuuzi mmoja ana jina kubwa huku we mshezi huna hata degree nikamwambia nikingia PhD hata ukoo wako nawahesabu paka wewe njoo juliana 2020 nkajipanga hadi na wasiojulikana

Hahaa akaishia kwahio unafanya makusudi didy nkamwambia mmesoma kuandika ama kutia saini tukiandika wote labda tuwe bar umeona vyeti paka wewe......

Alivyomjinga nilijichanganya nkapeleka cheti cha kazi nilikuwa mfanya kazi bora akaja humu huyu mngese kasomaa jaman na anafanya makusudi na anafanyakazi sehemu flan nkamu ignore sijui kama ananisoma mpaka leo

M nkiwa jf na sonzoziana wine ama dompo

Sishiki jf bila kunywa kawambie wahuniwenzio shule atujaenda wotee kuandika pambafu kunywa pombe ondka

nkamchukulia na bajaji sijui kama alilipa yote maana alichukua hela moaka bunju

achelewi kuishia afrikana
 
hahaaa ama vile vilainishi mmevielewa zaidi
No battery pls charge
 
Kuna mpuuzi mmoja ana jina kubwa huku we mshezi huna hata degree nikamwambia nikingia PhD hata ukoo wako nawahesabu paka wewe njoo juliana 2020 nkajipanga hadi na wasiojulikana

Hahaa akaishia kwahio unafanya makusudi didy nkamwambia mmesoma kuandika ama kutia saini tukiandika wote labda tuwe bar umeona vyeti paka wewe......

Alivyomjinga nilijichanganya nkapeleka cheti cha kazi nilikuwa mfanya kazi bora akaja humu huyu mngese kasomaa jaman na anafanya makusudi

M nkiwa jf na sonzoziana wine ama dompo

Sishiki jf bila kunywa kawambie wahuniwenzio shule atujaenda kuandika pambafu kunywa pombe ondka nkamchukulia na bajaji sijui kama alilipa yote maana alichukua hela achelewi kusihshia afrikana
Ila Pdidy Jf hawakutendei haki ume-join 2007 hadi leo wameshindwa kukupa hata badge ya Platinum member? Active mpeni Pdidy heshima yake
 
Wezi ni kuwatanguliza tu maana wanarudisha nyuma maendeleo na wanaleta umasikini na majonzi kwa familia.
Kakakaa tule tudogo aisee alitesa kawe na mbezi beach acha tu nilitoa maelezo kuna siku bado kidogo anishike makalio nkajitoa muhanga hata wewe mpwa akashtuka mpwa nenda dahaha nkamwambiabyameisha nkoo kesho tule bia oub yetu toka sikuhio nikirudi usiku nikimwona nakuwa na 3000 mpaka 5000 yake woiiii
 
W
Ujasiri wa kuukosoa muandiko wa Pdidy unautoa wapi?
Akamulize Dk chamuriho sasaa Prof
Ama Prof mbwette .....Prof msambichaka hawa paka huwajibu wana hela tukutane tulehelazao

Nenda kamulize Prof. Wa open University
Umeenda kusoma mwandiko kusomea maishaa mafelii maisha

Mpuziii mmoja nilimwambia we mbwa wakati we unawaza kununua mbezi beach miaka 6 ioiopita nimejenga mbwa wewe hana hamu na mm

Kulenimaisha fan kurudi manyoya

Tukutane kinyerezi wekeend
 
Huna unachokijua kuhusu Wezi wa Kawe na kwa Taarifa yako Wezi ambao walitetemesha Kawe (kiasi kwamba Watu walikuwa hata hawalali na Polisi wa Kawe wakiongozwa na Polisi Rafiki yangu japo ni mwana Yanga SC Afande Bingwa walikuwa wakiwaogopa) ni Wawili tu Marehemu Mbuzi yake Kamba na Kinyembe.

Huyu Marehemu Mbuzi yake Kamba Yeye alikuwa akija kufanya Tukio Kwako kwanza anaanza Kumkaza Mkeo huku unaona na ukijifanya kuleta Kibesi nawe anakubinjua vile vile na Kukuweka nao Wote myuuuuuuuu mbele ya Mkeo ambaye alishaliza Kukazwa nae Kunakotukuka.

Marehemu Kinyembe Yeye alikuwa akikukuta tu popote akikuambia mtolee Simu au Waleti yako ukibisha tu basi ndani ya Sekunde mbili Uso wako unamwaga Damu kwani alikuwa akitembea na Viwembe Vikali mfukoni mwake na alikuwa akichomoa Nyembe hairudishi mfukoni mwake hadi akuchane.

Marehemu Mbuzi yake Kamba aliuliwa Mbezi Beach mitaa ya Kona Baa baada ya safari hii kwenda Kuiba katika Nyumba moja Mwanajeshi Mmoja Commando ambaye hakai mbali sana na Viwanja vya alivyokuwa anamiliki Mzee Mmoja maarufu katika Serikali ya Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Mzee Kitundu.

Marehemu Kinyembe nae aliuwawa Kawe Mtoni (mitaa ya kwa Kavishe) baada ya Kumuibia Simu Mama Mjamzito na Kumchoma Bisibisi. Alivyofanya hilo Tukio Vijana wabeba Mchanga wakaamua Kumlia Timing ambako nae alivyokuwa Mjinga Kesho yake akaenda tena pale pale Kutega (akisahau kuwa alimchoma Kisu Mama Mjamzito na Kumuua) na Jamaa (wabeba Michanga) usawa wa Daraja la Malecela wakamuona ambapo walimkamata na Kumuua kwa Kifo kibaya sana cha Kishalubela (Kikatili) ambapo kuna Mwanangu Mmoja (hana Masihara kabisa) alimshindilia Kichwani na Msumari wa Nchi Sita ambapo uliingia Wote kisha Mwamba wangu mwingine Yeye akaamua Kuyatoboa kisha Kuyanyofoa kabisa Macho yake.

Huyu Marehemu Kinyembe Yeye alikuwa akiishi Nyumba iliyoko jirani kabisa inatazama na Mlango Mdogo wa Lugalo.
Aisee!
 
Ila Pdidy Jf hawakutendei haki ume-join 2007 hadi leo wameshindwa kukupa hata badge ya Platinum member? Active mpeni Pdidy heshima yake
2007mpaka 2024 kuna watu hawana watoto unahìsi tasa ama wamelogwa hamna nyota
 
kunywa wine maisha yaende
 
HAPA MAJUZI KUNA MEMBER ALIWEKA UZI KUNA PIK PIK ZAIDI YA 200 PALE KAWE DARAJANI AMBAZO NILIWAPA INFO N MWIZI AKAKRUIIA KWENYE DARAJA

KWA HESHIMA KABISA NIWATANGAZIE MTOTO WA DALALI MUHA AMEFARIKI NA MAZIKO YAMESHAFANYIKA

KIJANA ALIPELEKWA SHAMBA HOSPT KAWE WAKAMPELEKA MUHIMBILI

HATIMAE KIJANA ALIFARIKI KESHO YAKE

NIWAJUZE TU WALE WANAOMJUA DK AMA AKA JAJA MWIZI MAARUFU TOKA KAWE NAE AMEFANIKIWA KUTUTOKA BILA KUAGA

RAHA YA MILELE USIWAPE EE.....MWANGA WA MILELE USIWAANGAZIE
WASIPUMZIKE KWA AMANI

AMEN

TAARIFA
RAHA YA MILELE USIWAPE EE.....MWANGA WA MILELE USIWAANGAZIE
WASIPUMZIKE KWA AMANI##Hii sala muwe mnawaombea na wale wanaokwapua mabilioni ya serikali...
 
Back
Top Bottom