Yule mzee hakukosea, hawa wana kumbe kweli ni "mbumbumbu"

Yule mzee hakukosea, hawa wana kumbe kweli ni "mbumbumbu"

Wenye akili ni wawili,nakazia hapo hapo
 
Ukitaka ujue kuwa hawa ngada aka makolo ni zero brain (NGUMBARU) angalia kauli zao. Toka yule msemaji 'mweupe wa ngozi' awaaminishe kuwa Yanga kuna wenye IQ kubwa wawili nao wameshikilia hapohapo

Na umbumbumbu wao wakashindwa kuelewa kuwa bora akili mbili zinaweza kufanya jambo kuliko wote kuwa "MBU-MBU-MBU" na kuishia kuilaumu yanga na mafanikio yake.

Bado wameshikiwa akili zao mgando na yule mzungu ambaye akili mbili zilimhamisha toka kuwa ngumbaru na kuja kuifaidisha yanga kimkakati kwa kuwa waliona ktk lile kundi peke yake ndo alikuwa na uafadhali kwenye uelewa wa soka kuliko zile kolo nyingine.
Uzi wa kichoko na unajiona profesa wa simba...nyambaf
 
Back
Top Bottom