mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Hiyo manati ulia ndege na ngederemtandao manati sana huku
Kila kitu ni fursa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo manati ulia ndege na ngederemtandao manati sana huku
Ondoa neno kuumba, weka kutengeneza au kufinyanga. The one and only wa kuumba ni Mungu tu.Huyu ni robot maarufu sana duniani, bila shaka unamfaham sababu yeye yupo kwa ajili ya kukuliwaza kingono ili akili yako itulie, uwapo naye ni unajipimia unavyotaka hakuna siku atanuna au kuingia in 28 days 🙆🏾♂️.
Huyu 'dada robot' anaitwa Samantha sasa atakuwa na emotional mpya kwenye akili yake ambapo ataweza kukupuuza au kutokukupa ushirikiano wa kutosha mkiwa eneo la kujivinjali.
Endapo atagundua kuwa mtumiaji wake (mumewe)😄 ni mkali sana au akihisi kuchoshwa na tabia ya kupenda ngono sana wale wanaozira unaweza chepuka sababu atakupa mchezo ila anakuwa kama gogo 😆.
Dk. Sergi Santos ambaye ndiye ali'muumba' Samantha alizindua kipengele hicho kipya katika Kituo cha Sayansi ya Maisha huko Newcastle, Uingereza mapema wiki hii.
Santos anasema aliunda kipengele kipya kwa msisitizo wa mkewe.
Chukua hatua.Yaan mtengenezaji yeye ana mke afu anawatengenezea watu robot, JITAFAKARI
Ni vichekesho asee kuparangana na robot na maku kibao zimejaa!
Mara waya unalose kidogo, DUDUKILA linapigwa shoti 😂🤣.swalii swaliii.....
uliza,,,,,,,
anachajiwa kama cm ,yan anajaa kwanza then ndo anatumika,au wakati wa matumiz unaeka waya kwenye socket!?,,,kama jibu ni hilo la pili kwa umeme huu wa tz unaokata mda wowote,vipi ukate katkat ya shoo!?😁
Nawasilisha
Hahahaha 😂 😂 😂 mara doli lina handle bao mbili tu,,nawewe ni wa 5 kuendelea uuuuweeeeh,, mbona mtateseka sanaMara waya unalose kidogo, DUDUKILA linapigwa shoti 😂🤣.
Lakini sie wakulima, tunakula michembe kwa asali na tangawizi, ni show show, vipi chaji ikimuishia wakati mie bado nataka mzigo.
Yote 9 anaweza kula koni vizuri kama betty kanga moja ama ashura kichupi mkononi?
Ndio hapo, inapobidi mdoli uutafutie mchepuko, (yaani ununue doli jingine la ziada)Hahahaha 😂 😂 😂 mara doli lina handle bao mbili tu,,nawewe ni wa 5 kuendelea uuuuweeeeh,, mbona mtateseka sana
Hahahaha nmecheka jamani 😂 😂 😂 😂 😂 😂 umewaza mbali,,eti mchepuko 🙌🏾🙌🏾Ndio hapo
Ndio hapo, inapobidi mdoli uutafutie mchepuko, (yaani ununue doli jingine la ziada)
Kika kitu kikizidi ni changamoto, akili zinazidi watu wanawehuka wanataka kuigegeda midori.
Ndio hapo, inapobidi mdoli uutafutie mchepuko, (yaani ununue doli jingine la ziada)Hahahaha 😂 😂 😂 mara doli lina handle bao mbili tu,,nawewe ni wa 5 kuendelea uuuuweeeeh,, mbona mtateseka sana
Dunia ngumu hiiNdio hapo
Ndio hapo, inapobidi mdoli uutafutie mchepuko, (yaani ununue doli jingine la ziada)
Kika kitu kikizidi ni changamoto, akili zinazidi watu wanawehuka wanataka kuigegeda midori.
Baada ya game, unaenda kulinawisha kwa kulitandiika vidole au unaingizia brush an steel wire...Ni vichekesho asee kuparangana na robot na maku kibao zimejaa!
Walai Mtafika mmchoka sana
SheitwaaaaanAstaghafirullah 😁🤣
Sasa anaependa kula nyama atapendaje tena kula toy.Hivi inawezekana yupo mwanaume rijali asiyependa kula nyama akapenda kula plastic?!
Hata kama kila mtu huwa ana chaguo lake ila kwa mambo mengine tusidanganyane.