Yupi CEO wako bora kuwahi kutokea Tanzania? Nchi masikini zinafeli wapi!?

Yupi CEO wako bora kuwahi kutokea Tanzania? Nchi masikini zinafeli wapi!?

NguoYaSikuKuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
681
Reaction score
1,020
Hodi Jamvini,

Nawasilisha mada hapo juu kuhusu dhana ya MaCEO's ambayo huku ipo lakini naona bado ipo duni sana.

Kwenye suala la utendaji hatupimani kabisa kuhusu performances. Unakuta mtu ni mtendaji mkuu wa kuajiriwa iwe ni sekta binafsi au serikali yupo miaka mingi lakini bado Shirika au kampuni inadumaa au haikui na mtendaji mkuu yupo pale pale hana presha. Ni kwamba watu wengi wanafanya kazi ili wapate mishahara.

Upande wa serikali wanavyoteua mtendaji mkuu sijui kuna vigezo gani huwa wanazingatia au mtu anapewa tasks gani kabla ya uteuzi. Wapo wengi wanateuliwa miezi sita tu wanatumbuliwa na unakuta mtendaji mkuu huyo anatoka TANESCO anaenda labda EWURA etc

Kuna hili la DART unakuta wameweka kamba za kufungia ng'ombe za Manilla kwenye stand kama kutenganisha Abiria yaani ubunifu ni zero kabisa. Hapo unakuta kuna viongozi wapo na mtendaji mkuu ana zaidi ya miezi hajaoia vituoni. Ilimradi mishahara unaingia hana shida.


Sekta binafsi pia kuna baadhi ya watendaji wakuu pia huoni perforamances zao ni kwamba bora liende tu. Mfano mkubwa kuna TV imeanzishwa miaka ya 90's hapa mtendaji wao ni yuleyule na ukiangalia ile TV ni kama imepitwa na wakati kuanzia kwenye ubora wa picha mpaka utendaji mzima. Unajiuliza hapa mtendaji mkuu anawaza nini?!!

Ukiangalia Clouds Fm kuna utofauti mkubwa sana toka Ruge afariki unaona kabisa imepwaya. Alikuwa mbunifu sana aliyependa kazi yake kwa dhati. Unaona mi mtu ambaye hakuwa pale kwa Ajili ya mshahahara ni passion zaidi.

Wenzetu watu walioendelea mtu anakuwa mtendaji mkuu , kwanza ni kitu anakijua na Kukipenda na hasa Taasisi au kampuni nyingi zinaajiri CEO kwa kuleta matokeo chanya na uboreshaji.

Hapa nikianza kuorozesha mashirika mfu na watendaji wakuu bado wapo kazini nitajaza pages mbili. Ni kwamba watu hawajali iwe Serikali au Sekta binafsi tupo nyuma sana.

Kwa nchi zetu hizi masikini tukianza kupimana kwa ubora tutafika mbali na kama tukiendelea kubebana kwa kuogopana tutaishia kuwa dampo la Wazungu.Waasia na Waarabu.
 
Ni yule mama wa NMB ndio CEO bora. Kituko eti simba sc nayo ina CEO, huko ni kushusha hadhi ya cheo hicho cha kitaalam. Simba na wenzake waishie tu kwenye umeneja wa timu waache kudhalilisha hadhi ya u CEO. Mo wao ndio CEO wa ukweli kwenye kampuni lake la MeTL
 
Baadhi.ya.watendaji.wakuu.wa.sekta. binafsi na.za.umma niliowakubali kwa transformation walizozifanya na.kuacha.alama.

1. REGINALD Mengi
2. Mzee Kitilya TRA alileta ufanisi sana
3. Idrisa Rashid Tanesco
4. Nehemiah Mchechu NHC ukibahatika kufanya kazi NHC utaelewa huyu ni.mtu.na.nusu aliboresha sana mazingira mazima ya.kazi ukitoa upigaji.wake.lakini.wafanyakazi.wanaenjoy mifumo.alioiacha NHC.
5. Mzee Kayuni Tz distillaries konyagi.
6. Charles Kimei Crdb
7. Raia wa ghana alikuwa ceo wa kwanza wa kigeni Tanroads alikuwa very.effective and visionary. Kaachaa mifumo mpaka leo Tanroads ni.mahala pazuri kuajiriwa.
8. Ceo wa Tanapa aliyeta neema kubwa kwa.wafanyakazi wa.Tanapa..
9. Ceo wa Maersk ama nyota shippinh ltd somebody makani maersk haijawi kurudi nyuma.
10. Ma port manager wakiongozwa na.msomi mzee cassian Ngamilo. Halafu bwana mdogo liundi wote wamepiga.kazi sana Tpa
 
Hodi Jamvini,

Nawasilisha mada hapo juu kuhusu dhana ya MaCEO's ambayo huku ipo lakini naona bado ipo duni sana.

Kwenye suala la utendaji hatupimani kabisa kuhusu performances. Unakuta mtu ni mtendaji mkuu wa kuajiriwa iwe ni sekta binafsi au serikali yupo miaka mingi lakini bado Shirika au kampuni inadumaa au haikui na mtendaji mkuu yupo pale pale hana presha. Ni kwamba watu wengi wanafanya kazi ili wapate mishahara.

Upande wa serikali wanavyoteua mtendaji mkuu sijui kuna vigezo gani huwa wanazingatia au mtu anapewa tasks gani kabla ya uteuzi. Wapo wengi wanateuliwa miezi sita tu wanatumbuliwa na unakuta mtendaji mkuu huyo anatoka TANESCO anaenda labda EWURA etc

Kuna hili la DART unakuta wameweka kamba za kufungia ng'ombe za Manilla kwenye stand kama kutenganisha Abiria yaani ubunifu ni zero kabisa. Hapo unakuta kuna viongozi wapo na mtendaji mkuu ana zaidi ya miezi hajaoia vituoni. Ilimradi mishahara unaingia hana shida.


Sekta binafsi pia kuna baadhi ya watendaji wakuu pia huoni perforamances zao ni kwamba bora liende tu. Mfano mkubwa kuna TV imeanzishwa miaka ya 90's hapa mtendaji wao ni yuleyule na ukiangalia ile TV ni kama imepitwa na wakati kuanzia kwenye ubora wa picha mpaka utendaji mzima. Unajiuliza hapa mtendaji mkuu anawaza nini?!!

Ukiangalia Clouds Fm kuna utofauti mkubwa sana toka Ruge afariki unaona kabisa imepwaya. Alikuwa mbunifu sana aliyependa kazi yake kwa dhati. Unaona mi mtu ambaye hakuwa pale kwa Ajili ya mshahahara ni passion zaidi.

Wenzetu watu walioendelea mtu anakuwa mtendaji mkuu , kwanza ni kitu anakijua na Kukipenda na hasa Taasisi au kampuni nyingi zinaajiri CEO kwa kuleta matokeo chanya na uboreshaji.

Hapa nikianza kuorozesha mashirika mfu na watendaji wakuu bado wapo kazini nitajaza pages mbili. Ni kwamba watu hawajali iwe Serikali au Sekta binafsi tupo nyuma sana.

Kwa nchi zetu hizi masikini tukianza kupimana kwa ubora tutafika mbali na kama tukiendelea kubebana kwa kuogopana tutaishia kuwa dampo la Wazungu.Waasia na Waarabu.
Hapo kwenye tv iliyoanzishwa miaka ya 90 kama umeikusudia ITV super brand Africa mashariki nakukatalia.
ITV ni station inayobadilika kutokana na wakati toka kuwa ITV daima hadi ITV super brand Afrika mashariki. Kinyume na hapo sijui ni kituo gani Cha Tv ulichokilenga kuwa kilianzishwa miaka ya 90.?!
 
Baadhi.ya.watendaji.wakuu.wa.sekta. binafsi na.za.umma niliowakubali kwa transformation walizozifanya na.kuacha.alama.

1. REGINALD Mengi
2. Mzee Kitilya TRA alileta ufanisi sana
3. Idrisa Rashid Tanesco
4. Nehemiah Mchechu NHC ukibahatika kufanya kazi NHC utaelewa huyu ni.mtu.na.nusu aliboresha sana mazingira mazima ya.kazi ukitoa upigaji.wake.lakini.wafanyakazi.wanaenjoy mifumo.alioiacha NHC.
5. Mzee Kayuni Tz distillaries konyagi.
6. Charles Kimei Crdb
7. Raia wa ghana alikuwa ceo wa kwanza wa kigeni Tanroads alikuwa very.effective and visionary. Kaachaa mifumo mpaka leo Tanroads ni.mahala pazuri kuajiriwa.
8. Ceo wa Tanapa aliyeta neema kubwa kwa.wafanyakazi wa.Tanapa..
9. Ceo wa Maersk ama nyota shippinh ltd somebody makani maersk haijawi kurudi nyuma.
10. Ma port manager wakiongozwa na.msomi mzee cassian Ngamilo. Halafu bwana mdogo liundi wote wamepiga.kazi sana Tpa
Mengi aliacha alama wapi tofauti na kwenye makampuni yake?
 
Hapo kwenye tv iliyoanzishwa miaka ya 90 kama umeikusudia ITV super brand Africa mashariki nakukatalia.
ITV ni station inayobadilika kutokana na wakati toka kuwa ITV daima hadi ITV super brand Afrika mashariki. Kinyume na hapo sijui ni kituo gani Cha Tv ulichokilenga kuwa kilianzishwa miaka ya 90.?!
Mkuu ITV wapo nyuma sana katika ubora wa picha ,Matukio nk ,Angalia ITV habari habari halafu kaangalie CITIZEN TV Kenya au NTV Kenya uone walivyo mbali.
 
Baadhi.ya.watendaji.wakuu.wa.sekta. binafsi na.za.umma niliowakubali kwa transformation walizozifanya na.kuacha.alama.

1. REGINALD Mengi
2. Mzee Kitilya TRA alileta ufanisi sana
3. Idrisa Rashid Tanesco
4. Nehemiah Mchechu NHC ukibahatika kufanya kazi NHC utaelewa huyu ni.mtu.na.nusu aliboresha sana mazingira mazima ya.kazi ukitoa upigaji.wake.lakini.wafanyakazi.wanaenjoy mifumo.alioiacha NHC.
5. Mzee Kayuni Tz distillaries konyagi.
6. Charles Kimei Crdb
7. Raia wa ghana alikuwa ceo wa kwanza wa kigeni Tanroads alikuwa very.effective and visionary. Kaachaa mifumo mpaka leo Tanroads ni.mahala pazuri kuajiriwa.
8. Ceo wa Tanapa aliyeta neema kubwa kwa.wafanyakazi wa.Tanapa..
9. Ceo wa Maersk ama nyota shippinh ltd somebody makani maersk haijawi kurudi nyuma.
10. Ma port manager wakiongozwa na.msomi mzee cassian Ngamilo. Halafu bwana mdogo liundi wote wamepiga.kazi sana Tpa
List yako imesimama mkuu. Kuna watu wamepita wameacha alama Kubwa.
 
Baadhi.ya.watendaji.wakuu.wa.sekta. binafsi na.za.umma niliowakubali kwa transformation walizozifanya na.kuacha.alama.

1. REGINALD Mengi
2. Mzee Kitilya TRA alileta ufanisi sana
3. Idrisa Rashid Tanesco
4. Nehemiah Mchechu NHC ukibahatika kufanya kazi NHC utaelewa huyu ni.mtu.na.nusu aliboresha sana mazingira mazima ya.kazi ukitoa upigaji.wake.lakini.wafanyakazi.wanaenjoy mifumo.alioiacha NHC.
5. Mzee Kayuni Tz distillaries konyagi.
6. Charles Kimei Crdb
7. Raia wa ghana alikuwa ceo wa kwanza wa kigeni Tanroads alikuwa very.effective and visionary. Kaachaa mifumo mpaka leo Tanroads ni.mahala pazuri kuajiriwa.
8. Ceo wa Tanapa aliyeta neema kubwa kwa.wafanyakazi wa.Tanapa..
9. Ceo wa Maersk ama nyota shippinh ltd somebody makani maersk haijawi kurudi nyuma.
10. Ma port manager wakiongozwa na.msomi mzee cassian Ngamilo. Halafu bwana mdogo liundi wote wamepiga.kazi sana Tpa
Mjomba unawapima kwa maslahi wanayowapa wafanyakazi.
Ni sawa lakini kwa mtazamo wako.
 
Ni yule mama wa NMB ndio CEO bora. Kituko eti simba sc nayo ina CEO, huko ni kushusha hadhi ya cheo hicho cha kitaalam. Simba na wenzake waishie tu kwenye umeneja wa timu waache kudhalilisha hadhi ya u CEO. Mo wao ndio CEO wa ukweli kwenye kampuni lake la MeTL
Yani ma-CEO ya bongo yanashindwa na Tim Cook wa apple ambaye ni shoga. Hii inaniuma sana lile lishoga eti ni CEO bora. Situmiagi iPhone na kamwe sitatumia wala kugusa bidhaa za apple.
 
1. MTU akipata u-CEO anaona in zamu yake nayeye ya kula
2. Mi naona shida pia iko kwa wanaowapa u-CEO. Wanatumia vigezo gani kuwapa huo u CEO?
3. MTU anakutafutia mademu unampa shavu, best yako, mkwe, mfia chama, mpiga kampeni hodari, machawa unawapa u CEO. Ni sawa kama wanaweza lakini unaweza kukuta hawawezi. Au wanaweza kuwa wanaweza lakini fika wanajua hujawapa shavu sababu ya kuweza kazi bali hayo mambo mengine. Hapo wataharibu tu
4. Hao wanaowaweka ma CEO shida iko kwao zaidi. Vigezo dhaifu na usimamizi dhaifu. Lasivyo nakupa kazi kama huwezi nakutoa. Hivyo yaani
 
Hodi Jamvini,

Nawasilisha mada hapo juu kuhusu dhana ya MaCEO's ambayo huku ipo lakini naona bado ipo duni sana.

Kwenye suala la utendaji hatupimani kabisa kuhusu performances. Unakuta mtu ni mtendaji mkuu wa kuajiriwa iwe ni sekta binafsi au serikali yupo miaka mingi lakini bado Shirika au kampuni inadumaa au haikui na mtendaji mkuu yupo pale pale hana presha. Ni kwamba watu wengi wanafanya kazi ili wapate mishahara.

Upande wa serikali wanavyoteua mtendaji mkuu sijui kuna vigezo gani huwa wanazingatia au mtu anapewa tasks gani kabla ya uteuzi. Wapo wengi wanateuliwa miezi sita tu wanatumbuliwa na unakuta mtendaji mkuu huyo anatoka TANESCO anaenda labda EWURA etc

Kuna hili la DART unakuta wameweka kamba za kufungia ng'ombe za Manilla kwenye stand kama kutenganisha Abiria yaani ubunifu ni zero kabisa. Hapo unakuta kuna viongozi wapo na mtendaji mkuu ana zaidi ya miezi hajaoia vituoni. Ilimradi mishahara unaingia hana shida.


Sekta binafsi pia kuna baadhi ya watendaji wakuu pia huoni perforamances zao ni kwamba bora liende tu. Mfano mkubwa kuna TV imeanzishwa miaka ya 90's hapa mtendaji wao ni yuleyule na ukiangalia ile TV ni kama imepitwa na wakati kuanzia kwenye ubora wa picha mpaka utendaji mzima. Unajiuliza hapa mtendaji mkuu anawaza nini?!!

Ukiangalia Clouds Fm kuna utofauti mkubwa sana toka Ruge afariki unaona kabisa imepwaya. Alikuwa mbunifu sana aliyependa kazi yake kwa dhati. Unaona mi mtu ambaye hakuwa pale kwa Ajili ya mshahahara ni passion zaidi.

Wenzetu watu walioendelea mtu anakuwa mtendaji mkuu , kwanza ni kitu anakijua na Kukipenda na hasa Taasisi au kampuni nyingi zinaajiri CEO kwa kuleta matokeo chanya na uboreshaji.

Hapa nikianza kuorozesha mashirika mfu na watendaji wakuu bado wapo kazini nitajaza pages mbili. Ni kwamba watu hawajali iwe Serikali au Sekta binafsi tupo nyuma sana.

Kwa nchi zetu hizi masikini tukianza kupimana kwa ubora tutafika mbali na kama tukiendelea kubebana kwa kuogopana tutaishia kuwa dampo la Wazungu.Waasia na Waarabu.
Kuna mtu alikuwa akiitwa Brown Ng'wilulupi aliyekuwa CEO wa TTC (Tanzania Cigarette Company) miaka ya 70 na 80. Kulitokea uhaba mkubwa wa sigara. Kukawa na ulanguzi wa sigara. Mlanguzi anakaa na sigara zake kwenye kona moja na kuuza kwa mkupuo. Unavuta mara moja na kulipia kiasi fulani na baada ya hapo anapewa mteja mwingine, naye analipia kwa mkupuo. Mpaka sigara itakapokwisha mlanguzi ameisha rudisha bei aliyonunulia labda mara ishirini. Ng'wilulupi akaliona hilo na kulitangazia taifa kwamba "I will flood the market". Baada ya kama wiki mbili akatimiza ahadi yake. Walanguzi waliokuwa wakijibanza vijiweni wakiuza sigara kwa mkupuo wakabaki na sigara zao. Hakuna mnunuzi kwa kuwa sigara zimejaa kila mahali. Tangu wakati huo hakujawa na uhaba wa sigara Tanzania hadi leo.
 
Back
Top Bottom