Yupi humchezea au kumnajisi mwenzie?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
mabinti hupenda kuwatupia lawama njemba zao mara mambo yanapokwenda mrama husikika wakidai ya kuwa wapenzi wao ndiyo wamewapotezea muda wao bure, kuwachezea na kuwanajisi.......................huwa na vinyongo ambavyo havina ukomo.................swali langu la leo ni kuwa hivi ni nani hasa humchezea mwenzie au kumnajisi kati ya dume na jike?
 
Mwanaume utakapomnajisi au kumchezea mwenzako hautokuwa na alama,
zaidi sana utajiona wewe shujaa, na mwanaume rijali, una uwezo wa kwenda popote
ukapendwa, Mwanamke aliyetendewa atabaki na msongo wa mawazo, huenda hata
ujauzito umemwachia, matumizi hapati, amani haipo tena, atahisi kaonewa nani wa kumpenda
tena huyo mwanamke????? Mbaya zaidi utakapotangaza kuwa umemwacha na unaowatangazia
wana uhakika kuwa ulikuwa unatembea nae, hatotokea hata mmoja wa kupanga nae maisha na
kumuoa, labda wa kumchezea zaidi, lakini kwa upande wa mwanaume hata utangazwe vipi kwenye umati wa
watu, utakapomtaka bint wengi watakukubalia, hivyo basi mwanaume ataonekana ndiye aliyemnajisi bint na lawama atatupiwa yeye
mwanaume na atasomeka kuwa amemchezea bint wa sultan.
 
Kutokana na mfumo dume toka enzi za mababu bado inaonekana mwanamke si mtu wa kuchukua maamuzi magumu hasa linapokuja suala la kuachana au kutengana,ndio maana unaweza kuona kauli kama hizo,mwanamke ni mtu wa kusamehe tofauti na mwanaume ambaye hawezi kujizuia hasa anapokosewa na mwanamke.
 
Kwahiyo kama nikikuta bint wenzangu,washapita nami nikapita kiduchu na zana salama,nikimwacha hatakiwi kunilalamikia?kwn nitakuwa cjaharibu chochote na hakuna harama
 
Kwahiyo kama nikikuta bint wenzangu,washapita nami nikapita kiduchu na zana salama,nikimwacha hatakiwi kunilalamikia?kwn nitakuwa cjaharibu chochote na hakuna harama

Hakuna cha zana salama wala nini, moja kwa moja nawe ushamchezea, kwa nini upitie kiduchu, usipitie jumla jumla na kuingiza ndani????
 
Hakuna cha zana salama wala nini, moja kwa moja nawe ushamchezea, kwa nini upitie kiduchu, usipitie jumla jumla na kuingiza ndani????
Kwani naye si atakuwa amenichezea?kama akikataa kuolewa na mm je wkt tushachakachuana?
 
Yule anaevuruga ahadi aliyompa mwenzake...awe mke au mme.
 
kama kuna broken promises, lazima kuna muda umepotezwa kwa sababu ahadi alikuwa inasubiriwa, kwa muda gani inategemea ilikuwa ni ahadi gani, haijarishi ni kutokea upande gani? na hili la kupotezewa muda linaweza kuwepo hata kwa watu walio oana (funga ndoa).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…