Yupi jembe kati ya hawa wasanii?

Yupi jembe kati ya hawa wasanii?

kumbe anaetoa wimbo mmoja tuzo 6 ni JEMBE basi anaetoa nyimbo 10 tuzo 2 ni MPINI
 
He wamehamia huku, ule mdole wenu hautoki kwenye tundu lake mtahama nalo. Dadeki, mtanyooka mwaka huu.

Hiyo lugha uliyoitumia ni inappropriate kabisa, me binafsi imenichefua...u could use other words n still ujumbe wako ungefika vizuri tu
 
Nalzma hii ifahamike mtu yeyote atakae ingia kwa mshind wa tuzo ya mtvmama lazma narudia tena utanyooka tu.na hii k2 lazma ieleweke utakua kama rula
 
Back
Top Bottom