DOGofGOD JF-Expert Member Joined Feb 15, 2015 Posts 1,341 Reaction score 480 Jul 21, 2015 #21 K 4 LIFE said: mkuu yule ni balozi wa umoja wa mataifa Click to expand... Yah!.Apart From Music.King Has Some Other Responsibilities Too.Well Done King!
K 4 LIFE said: mkuu yule ni balozi wa umoja wa mataifa Click to expand... Yah!.Apart From Music.King Has Some Other Responsibilities Too.Well Done King!
V vuvula Member Joined Feb 18, 2015 Posts 49 Reaction score 8 Jul 21, 2015 #22 kumbe anaetoa wimbo mmoja tuzo 6 ni JEMBE basi anaetoa nyimbo 10 tuzo 2 ni MPINI
P proto cute Senior Member Joined Apr 22, 2015 Posts 191 Reaction score 112 Jul 22, 2015 #23 kilimbamula said: He wamehamia huku, ule mdole wenu hautoki kwenye tundu lake mtahama nalo. Dadeki, mtanyooka mwaka huu. Click to expand... Hiyo lugha uliyoitumia ni inappropriate kabisa, me binafsi imenichefua...u could use other words n still ujumbe wako ungefika vizuri tu
kilimbamula said: He wamehamia huku, ule mdole wenu hautoki kwenye tundu lake mtahama nalo. Dadeki, mtanyooka mwaka huu. Click to expand... Hiyo lugha uliyoitumia ni inappropriate kabisa, me binafsi imenichefua...u could use other words n still ujumbe wako ungefika vizuri tu
master mind himself Senior Member Joined Jul 18, 2015 Posts 150 Reaction score 52 Jul 22, 2015 #24 Nalzma hii ifahamike mtu yeyote atakae ingia kwa mshind wa tuzo ya mtvmama lazma narudia tena utanyooka tu.na hii k2 lazma ieleweke utakua kama rula
Nalzma hii ifahamike mtu yeyote atakae ingia kwa mshind wa tuzo ya mtvmama lazma narudia tena utanyooka tu.na hii k2 lazma ieleweke utakua kama rula
K K 4 LIFE JF-Expert Member Joined Jul 21, 2015 Posts 2,567 Reaction score 416 Jul 22, 2015 Thread starter #25 vuvula said: kumbe anaetoa wimbo mmoja tuzo 6 ni JEMBE basi anaetoa nyimbo 10 tuzo 2 ni MPINI Click to expand... jembe ni bora kuliko mpini, mpini unaweza kuvunjika lakini jembe litadumu milele
vuvula said: kumbe anaetoa wimbo mmoja tuzo 6 ni JEMBE basi anaetoa nyimbo 10 tuzo 2 ni MPINI Click to expand... jembe ni bora kuliko mpini, mpini unaweza kuvunjika lakini jembe litadumu milele