mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Maimbazi akuna vibabu ni sura tu zimepinda.Manara hajui ataiyo dola laki Tano ikoje, yaani yeye anaropoka tu. Hakuna mchezaji wa dola laki mbili anaye cheza Afrika Mashariki.
Vile vibabu pale msimbazi ni ghali kuliko wachezaji vijana.
Hivi kwa nini Utopolo mnapenda kuropoka hivyo, Luc hakukosea kwa kweli. Hakuna manara amesema wamenunua mchezaji kwa dollar laki Tano.Manara hajui ataiyo dola laki Tano ikoje, yaani yeye anaropoka tu. Hakuna mchezaji wa dola laki mbili anaye cheza Afrika Mashariki.
Vile vibabu pale msimbazi ni ghali kuliko wachezaji vijana.
wao walimnunua dola ngapi?Hivi kwa nini Utopolo mnapenda kuropoka hivyo, Luc hakukosea kwa kweli..
Hao tulishaambiwa ni uneducated wachana naoHivi kwa nini Utopolo mnapenda kuropoka hivyo, Luc hakukosea kwa kweli. Hakuna manara amesema wamenunua mchezaji kwa dollar laki Tano.
Maelezo ya Manara jana amesema waliletajiwa dollar laki tano kwa ajili ya kumuuza Luis, ila MO alikataa kumuuza.
Acheni kuropoka ropoka tu
taja yako kama Manara karopokaManara hajui ataiyo dola laki Tano ikoje, yaani yeye anaropoka tu. Hakuna mchezaji wa dola laki mbili anaye cheza Afrika Mashariki.
Vile vibabu pale msimbazi ni ghali kuliko wachezaji vijana.
Kwa hyo we unaamini kale kamakonde kanafika bei hiyo? Na unaamini kabsaaaa muhindi yle akatae bilioni kwa mchezaji aliyemnunua chini ya milioni miaHivi kwa nini Utopolo mnapenda kuropoka hivyo, Luc hakukosea kwa kweli. Hakuna manara amesema wamenunua mchezaji kwa dollar laki Tano.
Maelezo ya Manara jana amesema waliletajiwa dollar laki tano kwa ajili ya kumuuza Luis, ila MO alikataa kumuuza.
Acheni kuropoka ropoka tu
Kwa hyo we unaamini kale kamakonde kanafika bei hiyo? Na unaamini kabsaaaa muhindi yle akatae bilioni kwa mchezaji aliyemnunua chini ya milioni mia