Hehe uko sahihi mkuu ndo maana nikakuuliza habari za walimuhapana mkuu nimekumbuka tu ripoti za shule ya msingi tukishika nafasi moja watu watu wawili mfano mtu wa pili wanaweka point tano(2.5)
Kubinua mdomoOhoo...mfano zipi
Kama hivi...[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Kubinua mdomo
Hehe umeona sasa...hata akiwa anaimba ni hivo hivo na vituko vungine vingi na kupayuka sana wakidhani hip hop lazima upayukeKama hivi...[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
mkuu lakini ni swagga aliyojichaguliaHehe umeona sasa...hata akiwa anaimba ni hivo hivo na vituko vungine vingi na kupayuka sana wakidhani hip hop lazima upayuke