yupi mwenye afadhali


Kama kwenu hamna msosi mfuate wa kwanza lakini kama unataka mshariba basi wa pili. Sasa hapo ukishwindwa kabisa amfiga mawili poa tu ........................... ni wewe na roho yako tu
 
daa Mwasu umeleta topic wakat wake,mimi bora ya kizungu ya kwanza hapo maana ni mapenzi ya kweli hii ya kiafrika miajianaume ya kiafrika isiyojali hata shling elfu hamsini likikusaidia litatatangaze ohh nilikusaidia elfu hamsni mkiachana anakudai ha ha ha.bora wa kizungu unajua ni mapenzi ya kweli kwa shida na raha..
 
ulijuaje ferds siyo lazima mambo ya kizungu kweli mtu hata salam siku nzima?halafu isitoshe mapenzi ni vitendo bila vitendo nitajuaje unanipenda jamani?upo sahihi kabisa ferds
 
Mbona mi niko caring kwa kila kitu na bado kitandani niko fit,hivi kuna watu ambao wanakosa sifa hizi,anyway wacha niwasome wachangiaji.
eeeh paka wapo saaana tu hongera kama ww umejaaliwa yote kwa pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…