Yupi ni director mkali kati ya Nick Dizzo na Nisher ?

QALLI MIZOH

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2014
Posts
2,075
Reaction score
698
Wote ni video director wa video za kibongo wakali sana ninaowaaminia.
niambie mdau kwa mtazamo wako nani anasumbua sana kati ya hivi vichwa viwili?
baadhi ya video za NISHER ni:


  • Nje ya Box- WEUSI
  • Unanichora-Ben Pol
  • Kijukuu-Young dee..

Baadhi ya video za nikki dizzo ni:


  • tummoghele- Izzo B
  • Nishike mkono-D Knob ft Mwasiti
  • Shut up kimya- Micharazo na B.O.B
Ni hayo tu wapenda vichupa vikali...!!
 
NISHER anabebwa sana, ila ni wa kawaida sana.
Anatumia Color effects sana hadi Anaboa.
NICK DIZZO ni mkali ila hana Promo.
 
Tatizo jingine la NISHER anapenda sana sifa..yaani yule jamaa kujisifu kwingi mpaka anapitiliza
 
Tatizo jingine la NISHER anapenda sana sifa..yaani yule jamaa kujisifu kwingi mpaka anapitiliza
kuna dogo mmoja alikuwa anafanya naye kazi,dogo aliyetengeneza video ya mwisho ya shilole kama sikosei,alipoona jamaa anaanza kujulikana akamtema
 
kuna dogo mmoja alikuwa anafanya naye kazi,dogo aliyetengeneza video ya mwisho ya shilole kama sikosei,alipoona jamaa anaanza kujulikana akamtema
Egoism sana mjamaa...
 
Nick dizzo mkali.. But nilikua namkubali Eryn Epidu more...
 
kuna dogo mmoja alikuwa anafanya naye kazi,dogo aliyetengeneza video ya mwisho ya shilole kama sikosei,alipoona jamaa anaanza kujulikana akamtema
Duh kwa hiyo jamaa anafanyiwa KAZI??
 
Tatizo jingine la NISHER anapenda sana sifa..yaani yule jamaa kujisifu kwingi mpaka anapitiliza
YES! Kuna siku alisema studio yake ina gharama ya zaidi millioni 100 .. hapo hapo analalamika hana RED CAMERA!! mpaka akodishe
 
Eryn Epidu bado sana kumlinganisha na NICK DIZZO.

Sijamlinganisha Epidu na Nick Dizzo..nimesema namkubali Saudi..hata hivyo angefanya wonders nyingi sana asingeletewa fitina na wabongo...by the time anaondoka, alikuwa na kazi nyingi sana za kufanya..
 
Unajua Nisher alipoanza alipewa Uhuru mkubwa wa vyombo vya habari kum support lakini Nick dizzo sasa hivi anakampuni mpya lakini hapewi ile sifa yake thabiti kutokana na Nazi zake bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…