Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,290
- 1,123
Makelele tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa umeulizwa habari ya muziki au biashara? No wonder hata shule ulikuwa kilaza..Wanaojua kuliko Diamond mbona ni wengi sana. Ila kwenye mafanikio anawakimbiza wote wanaojua zaidi yake.
Kwanini?
Jamaa anajua kama muziki ni biashara,na anaifanya kweli biashara ya muziki.
Harmonize usimfananishe na vitu vya ajabu ajabuMsanii yupi ambae kwa sasa hivi anafanya vizuri sana kwa katika kazi zake za muziki mwaka huu ni nani ?
Mmmmmm utakuwa team kiba wewe,Yani unamlinganisha king of east Africa music na underground?Jux anajua sana kuliko hata Diamond
Sasa si ndo kujua huko,unaweza ukawini biashara ya nyanya Kama ujui kuuza nyanya?Wanaojua kuliko Diamond mbona ni wengi sana. Ila kwenye mafanikio anawakimbiza wote wanaojua zaidi yake.
Kwanini?
Jamaa anajua kama muziki ni biashara,na anaifanya kweli biashara ya muziki.
Mashabiki pia wanampenda ndo maana anawakimbiz a Sana ok go& sleep.Ulichosema ni sahihi kabisa. Diamond ana uongozi mzuri ambao wanajua kucheza na soko na akili za mashabiki