Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Nimekusundia Kumfananisha Na Actor Mmoja Wa Bollywood (Hindi Cinema) Anayeitwa Razak Khan na wala si Mnyama.
View attachment 700713
Au Huyu Razak Khan si Kiumbe?
razak khan
Nimekusundia Kumfananisha Na Actor Mmoja Wa Bollywood (Hindi Cinema) Anayeitwa Razak Khan na wala si Mnyama.
View attachment 700713
Au Huyu Razak Khan si Kiumbe?
razak khan
Acha ujinga wewe jamaa,unaujua mpira kweli wewe?? Acha kumfananisha CR7 na vitu vya kijingaHivi nikweli kabisa ndani ya akili yako unaamini kuwa Ronaldo ana ubora zaidi ya Mudric na Hazard?
Daaah CR7,mchezaji na binadamu pekee kwenye hii dunia mwenye magoli mengi uefa ni CR7 ,unamueka kundi moja na dybala?? Kweli kuzalauliwa kwa MTU ni ufahamu wakeMkuu utamuachaje Dybala?
- MESSI
- ...
- ...
- CR7 and DYBALA
Record ndio zinamua ubora wa mchezaji,hata JJ okocha alikuwa na skills but hayupo hata kwenye kumbukumbu za Best player... Kuna watu hamjui mpira but mnafosi kuchangiaKwaiyo uwezo wa mchezaji unapimwa kutokana na rekodi alizovunja au Skills na nini analofanya ndani ya uwanja?
Daaah CR7,mchezaji na binadamu pekee kwenye hii dunia mwenye magoli mengi uefa ni CR7 ,unamueka kundi moja na dybala?? Kweli kuzalauliwa kwa MTU ni ufahamu wake
Record ndio zinamua ubora wa mchezaji,hata JJ okocha alikuwa na skills but hayupo hata kwenye kumbukumbu za Best player... Kuna watu hamjui mpira but mnafosi kuchangia
Kwanza,yupi anaanza katika mtiririko sahihi,je namba moja ni Messi au Ronaldo?Nipo na wadau tunabishana hapa, je Hazard, Bale, Neymar, Pogba, na wengineo, Je ni yupi anafaa kuwa watatu kwa ubora kando ya Messi na Ronaldo?