Yupo wapi aliyekuwa mtangazaji mahiri wa KBC, Leonard Mambombotela?

Yupo wapi aliyekuwa mtangazaji mahiri wa KBC, Leonard Mambombotela?

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Kwa mlioko huko kenya, huyu jamaa yupo wapi kwa sasa. Najua kwa sasa kama atakuwa bado mzima atakuwa mstaafu.

Alitamba na kipindi chake cha je huu ni uungwana miaka ile ya 1980. Kikirushwa kila jumapili saa 3 ahsubuhi.

Jamaa alikuwa vizuri. Hata kwenye kutangaza taarifa ya habari. Utamsikia.... Mtukufu Rais Daniel Arap Moi leo amesali katika kanisa la kasarani. Kwenye ibada iliyoongozwa na padri Onyango.
 
Kama alikuwa anatumia neno Mtukufu, alikuwa anakosea sana. Utukufu ni wa Muumba Pekee
 
KBC ilikuwa na watangazaji wengi mahiri ambao sio rahisi kujua nani alikuwa bora. Baadhi ya watangazaji vinara wa KBC enzi hizo ni:

1. Steven Mwita Koroso
2. Charles Omuga Kabisae
3. Bill Omalla
4. Amina Salum Ali
5. Amina Faki
6. John Onyango Joel (JOJ)
7. Gladys Elude
8. etc
 
Back
Top Bottom