Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
- Thread starter
-
- #21
Yule amejiweka top na yeye ndio anazuia katiba mpya. Hawa kuna siku tu inakuja yote yataisha japo kwasasa atapambana kila rais awe kibaraka wake.Watakosaje kuishi kwa anasa na baba yao ameiba fedha yote ameificha DUBAI!!! Ndio kisa cha kuogopa katiba mpya kwani yaliyompata Zuma kule bondeni na yeye yangempata !!! Anafikiri wabongo wajinga hawajui kuwa ananyumba amenunua huko Dubai!!!
Yule amejiweka top na yeye ndio anazuia katiba mpya. Hawa kuna siku tu inakuja yote yataisha japo kwasasa atapambana kila rais awe kibaraka wake.
Taasisi zetu ni dhaifu sana kwasababu kila mtu anaangalia ulaji wake. Watu wa kwenye security agencies wengi wapo kwa maslahi yake hivyo anajilia atakavyo na analindwa.
Duh! Niliona mtu kaandika kuwa alimuona kijitonyama hivi karibuni. Ila si alishavuka 60 na atakuwa kwenye 65 saa hizi?Hivi sasa anapigana ili OTHMAN aliyekuwa mkuu wa TISS enzi zake arudi tena kwenye ile nafasi!!!
Nipo hapa nami naendelea kula kwa urefu wa kamba yangu.Yupoo ametuliaaa anakulaa maishaa hana presha ya vtu vidogoo,vip ww maishaa unakulaa au yanakukulaa mkuuu!!!!!
Duh! Niliona mtu kaandika kuwa alimuona kijitonyama hivi karibuni. Ila si alishavuka 60 na atakuwa kwenye 65 saa hizi?
Suluhisho ni kumalizana na huyu godfather wao la sivyo wanazidi kuota mizizi.Nchi hii kila kitu kinawezekana; wewe hushangai Kinana kurudi baada ya kuaga kuwa alikuwa amechoka angekwenda kucheza na wajukuu zake?
Una budi kupambaniaaaa ulee zaidi ya urefu wa kamba ya mzee chengeeeNipo hapa nami naendelea kula kwa urefu wa kamba yangu.
Njia ya huyo mzee siitaki. Mimi nakula vya halali tu.Una budi kupambaniaaaa ulee zaidi ya urefu wa kamba ya mzee chengeee
Nchi hii kila kitu kinawezekana; wewe hushangai Kinana kurudi baada ya kuaga kuwa alikuwa amechoka angekwenda kucheza na wajukuu zake?
Inashangaza gari imeharibika unaenda stoo kuchukua spea uliyoitoa katika gari zamani.Watu watakuwa wanarudishia spares ndivyo sivyo na engine ikiwashwa unakuta chombo kina breakfires na missi za kutosha kikiingua barabarani mwendo wa kobe Nzee.
Yule atatuletea sapraiz siku sio nyingi.Sterling hauwawi.
Joka la makengeza linavizia sehemu.Nyoka mwenye makengeza...anatazama pesa..soon atarudi ulingoni mana mstaafu aliyekataa kustaafu yupo kazini.
#MaendeleoHayanaChama
Inashangaza gari imeharibika unaenda stoo kuchukua spea uliyoitoa katika gari zamani.
Uwe mwaminifu hivyo na Mungu atakusaidia. Chenge ni jambazi mkubwa! Ila watz wapumbavu wanasema ni mjanja kumbe amewaibia Sana!Njia ya huyo mzee siitaki. Mimi nakula vya halali tu.
Sijamsikia siku za hivi karibuni huyu mbunge, mwanasheria mkuu na mwenyekiti wa bunge mstaafu.
Kwakweli nakuwa nervous kiasi maana huyu akikaa kimya basi ujue kuna kinachoendelea huko.
Kipindi hiki watu wanarudi zao tutashangaa tu tushapigwa tukio.
Kauli za mzee magu hizi.😅Nmemtuma kutibiwa Kuwait
Kweli kabisa mkuu, tukipata fursa ya kutumikia wengine basi tuwe waaminifu na mafanikio ni ya uhakika.Uwe mwaminifu hivyo na Mungu atakusaidia. Chenge ni jambazi mkubwa! Ila watz wapumbavu wanasema ni mjanja kumbe amewaibia Sana!