Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
- Thread starter
-
- #41
Ni kweli kabisa mkuu. Watu wanapeana kwa kuzoeana na matokeo yake hakuna tija. Wazee ambao bado wana fikra za miaka ya 70 wanataka waendelee karne hii.Khalafu spare zenyewe ni spark plugs zilishapigwa kutu ya kutosha unahitaji msasa na mafuta ya taa kuzisafisha au fuel/ injector pump. Lazima ukutane na missi za kutosha. Gari mwendo unakuwa goigoi.
Kauli za mzee magu hizi.[emoji28]
Alijiita jiwe na mikwara kibao lakini kashapotea.Hahaaaa!!!!hakika futuhi imezimika mapema sana
Kumbe huwa joka linasali?Leo Ijumaa Kuu atakua St Immaculate Upanga.
Alijiita jiwe na mikwara kibao lakini kashapotea.
Ni Mkatoliki mwenzetu wa nguvu pale St Immaculate.Kumbe huwa joka linasali?
Ile hela ya EPA alipotoa consultant fee aliyo charge wote waliomfuata hakukua na swali tena.Utasikia hela ya ruzuku ya mafuta iliyokuwa kwenye hazina imepotea
Halafu huyu gwiji haachagi incriminating evidence behind..
Lakini anakula mchicha kwa kupenda, anao uwezo wa kula bia na nyama kila siku.Nyoka lenye makengeza alishatolewa kwenye reli ya kupata madili makubwa makubwa sasa hivi anacheza na wajukuu
Jiwe lililopigwa na shoti ya umeme masikin
Yule labda ile mahakama ya uholanzi ndio inaweza kumkamata.Ile hela ya EPA alipotoa consultant fee aliyo charge wote waliomfuata hakukua na swali tena.
Angalau atakuwa anachangia ujenzi.Ni Mkatoliki mwenzetu wa nguvu pale St Immaculate.
Angalau atakuwa anachangia ujenzi.Ni Mkatoliki mwenzetu wa nguvu pale St Immaculate.
Angalau atakuwa anachangia ujenzi.
Ninawaonea huruma hao watoto, hawajaandaliwa na mapambano ya dunia na hela yenyewe wanayo jitanua nayo ina laana maana ni pesa ya watu masikini sana. Fikiria wanaolala nyumba mbovu, wasio na maji salama ya kunywa nkWatakosaje kuishi kwa anasa na baba yao ameiba fedha yote ameificha DUBAI!!! Ndio kisa cha kuogopa katiba mpya kwani yaliyompata Zuma kule bondeni na yeye yangempata !!! Anafikiri wabongo wajinga hawajui kuwa ananyumba amenunua huko Dubai!!!
Kwasababu Tulia Ackson Mwanzasu ni mtoto wa Mwansasu aliyekua TISS.Alikosa, au tuseme wajumbe walikata jina kwenye kugombea usipika.
Labda watategemea jina la mzee lakini akipatikana atakayeamua kuziba mirija wale wataishia pabaya sana.Ninawaonea huruma hao watoto, hawajaandaliwa na mapambano ya dunia na hela yenyewe wanayo jitanua nayo ina laana maana ni pesa ya watu masikini sana. Fikiria wanaolala nyumba mbovu, wasio na maji salama ya kunywa nk
Watoto wa Ghadafi waliandaliwa raha milele lakini yaliyotokea unayajua.Labda watategemea jina la mzee lakini akipatikana atakayeamua kuziba mirija wale wataishia pabaya sana.
Utakufa wewe utamuachaSuluhisho ni kumalizana na huyu godfather wao la sivyo wanazidi kuota mizizi.
Dunia haiku hivyoNinawaonea huruma hao watoto, hawajaandaliwa na mapambano ya dunia na hela yenyewe wanayo jitanua nayo ina laana maana ni pesa ya watu masikini sana. Fikiria wanaolala nyumba mbovu, wasio na maji salama ya kunywa nk