Yupo wapi Askofu Zacharia Kakobe?

Yupo Ulaya anatumia zile pesa zenu mlizomjazia miaka nenda rudi.
 
Watu na bahati zao, unakusanya Watu unawachangisha ili uishi maisha ya utajiri na ufahari kwa kumsingizia Mungu.

Hivi ni kwa nini Wasichangishe wakawasaidia Wenye uhitaji wa kweli na wao wakabaki wakiishia maisha ya kawaida?....hiyo si ndio haswa kazi ya Mungu?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…